Kiwanja kinauzwa Irnga kwa being ya tsh mil 2.5,lipo eneo nzuri huduma muhimu zipo, kinapatikana mtaa Wa kitwiru karibu na viwanja vilivyopimwa vya manispaa. Mawasiliano 0763024430,,, hakina...
Habari zenu!!!
Naomba kujua bei ya laptop yenye sifa hizi kwa wajuzi wa biashara ya laptop
Aina: Hp elitebook 2540p
Muundo: Mini laptop
Processor: Core i7
RAM: 4.00GB
System type: 64-bit Operating...
Habari zenu wakuu
Natumai wazima kabisa, poleni na majukum ya kulijenga taifa
Kama kichwa ninavyojielezea nahitaji laptop iwe used ambayo haijachoka sana lakini au mpya
SPECIFICATION
1. AINA...
Hatimaye kwa wote wenye uhitaji wa Kitabu kizuri kwa maana kinachofafanua hatua kwa hatua namna ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za Viwandani Na utotoleshaji wa Vifaranga vya kienyeji kwa...
NIPO TUKUYU-MBEYA Natafta wa kufanya nae exchange nina pesa taslimu jumlisha na simu (NOKIA-LUMIA 520) Nahitaji laptop ya wastani..
Kwa mwenye nayo serious ani watsap kwa 0676227858.
Karibuni...
Tunauza Viatu vya kimasai original kutoka Mombasa ! Tunauza kwa jumla na reja reja !
Jumla elf 15,000 kuanzia pea 5
Reja reja elf kuanzia elf 20,000!
Viatu vyetu ni original a na imara kabisa...
Ukubwa: mita 17x10
Location: cheki point kama mita 30 kutoka barabarani ,maeneo ya dampo.
Maji na umeme vyote viko karibu
Bei: 3.5M (Fixed price) hakuna dalali.
Call: 0674057335 only if your...
Toyota Ractis 2006....
Cc 1490....
Km 80000.....
Ufunguo
Gray...
Full Body kit...
Reem Sport...
Gari Haidaiwi Vibali....
Na Wala Haigongi Chini...
Matairi Mapya Kabisaaa...
Inataka Milion...
Picha zinajieleza zaidi
Ina vyumba vitatu chini, viwili juu +parking + maji +umeme, kila chumba na choo chake, dining na sebule kubea,stoo na bustani
Ipo Kigamboni Kibada km 10 toka Ferry...
Salamu wakuu, naomba mwenyeji ama mwenye uelewa na mji wa Morogoro, ni sehemu Gani nzur kujenga kwa Sasa na vipi upatikanaji wa viwanja? Kwa ukubwa wa ekari moja ivi? Maji na Vifaa vya Ujenzi...
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha.
Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa.
Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
Wakuu kama kuna mtu AU nduguyo anahitaji MACHINE ya aina yeyote ile, tuwasiliane hapa hapa JF nitampa mwongozo wa jinsi ya kunipata au kuipata, kwa aliye serious anitumie mawasiliano yake kwenye...
Habar zenu wakuu...
mimi ni kijana ambaye nimeamua kujiajili kutoa huduma ya umesenja mkoani mbeya, huduma zangu ni
1-kupeleka nyaraka(documents) ndani ya mbeya
2-kutuma nyaraka au mzigo nje ya...
Kesho 3.3.2017 nitakuwa mubashara Atv ya Abood Media kuelezea ubunifu na ugunduzi wa mashine ya chaki na Mradi wa Kiwanda cha chaki Niliufanya baada ya kuanzisha Taasisi ya KITAAvation ambayo...