Nahitaji pikipiki used kati ya tvs king/boxer bm 150.

Nahitaji pikipiki used kati ya tvs king/boxer bm 150.

The GT

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
461
Reaction score
532
Umofia kwenu wadau.
Rejea kichwa hapo juu,nahitaji mojawapo ya hizo pikipiki tajwa hapo juu bajeti ni 1m.
CONDITION.
Isiwe imetumika zaidi ya miezi 6.
Napatikana IRINGA.
 
Jipange upate mpya, piki piki iliyotumika itakusumbua baada ya muda mfupi!
 
Ivi kati ya tvs ya CC125 na boxer-150 BM
Ipi ni nzuri sana katika matumizi ya boda boda
 
Back
Top Bottom