Viwanja vinauzwa dom

elimuplatform

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
1,054
462
Ukitaka Kiwanja,nyumba na maeneo ya mashamba Dodoma Ni-pm ,lakini pia Wewe Mwenye shamba ,Kiwanja Dom pia tuwasiliane,asante
 
Kitunda Magole(Kiwanja)

Kitunda Magole, near Mwanagati. Umeme na Maji hapo hapo.
50Ft X 50Ft. Pamepimwa Kienyeji kwa Mpangilio Mzur kwa Makazi bora.

8.6Kms from Banana.
18.9Kms from Clock Tower.

Bei: 6.5M
Mazungumzo yapo.
 
Kuna kampuni inahusika hapo inaitwa Eagles kama sijakosea. Mwaka juzi niliondoka hao watu wakiwepo hapo mjini walikuwa wanauza viwanja kwa mikopo yaani unalipa taratibu kwa vigezo na masharti....ni bora kuwatafuta hao jamaa, viwanja vilikuwa vimepimwa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom