TUNATOA HUDUMA YA KUPIMA UDONGO ILI KUKUJULISHA VIRUTUBISHO VILIVYOMO NA AINA YA UDONGO HUO PAMOJA NA KUKUSHAURI MAZAO GANI YANAFAA KWA ENEO HILO LA SHAMBA LAKO NINI UNATANAKIWA KUKIFANYA ILI...
Habari zenu
Mimi ni mkulima wa uyoga aina ya oyster nipo arusha mjini na nimeanza kuvuna, kwa atakaehitaji or anaejua soko la uyoga naomba anijuze private message
Habari zenu wana JF
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, baada ya kusota kwa muda mrefu bila ajira ya maana hatimaye nimefanikiwa kupata mtaji ambao nimefikiria kufungua banda la chipsi
Sehem...
Habari wana JF
Kwa yeyote anayeuza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka naomba awasiliane na mimi. Conditions ni kama zifuatazo:-
(1) Iwe iliyotumika (Iwe inafanya kazi au haifanyi kazi).
(2)...
Oil and gas companies in Tanzania buys almost everything, They buy food stuff, to feed their employees in the job site.They buy fuel, such as diesel and lubricants. They buy industrial products...
Kiwanja kinauzwa kiko
Mbezi Makabe,kiko barabarani ila siyo barabara kuu.ukubwa wake ni urefu hatua 62,upana hatua 32,kina karatasi za mauziano,bei ni maelewano bei ya kuanzia mil 15 call 0714...
A single story bungalow, has got four bedrooms, living area, dining, well fenced and has two access roads, in a quiet secluded area of Boko. Price 150mil Tshs. For more properties visi...
>Tv nchi 24 ya chogo for sale
>Bei 100,000
>Nina flat ndio mana naiuza.
>Nipo Kimara,Dar es salaam.
>Nimejalibu weka picha imeshindikana.
>Haina tatizo lolote
>0714134399
Habar zenu wanajamii mimi ni bint nilimaliza chuo mwaka juzi so ajira ilikuwa ngumu kupata maisha nimagumu saana ukizingatia nimesoma kwa tabu mno niliangaika biashara ndogondogo mpaka mtaji...
Wakuu habarini.
Naomba kujua betri gani ya gari dry cell ni bora zaidi maana naona zipo nyingi kama atlas,top power na led exide.
Msaada wakuu kabla sijaingizwa mjini.
Kichwa cha habari hapo juu cha husika.
Mzigo uko mbagala.
Bei 250k
Rangi nyeupe.
Bado ipo kwenye hali nzuri, ina glass protector.
Cont: 0687 089980/watsap kwa picha, specs na biashara.
Nawasilisha.
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu
Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...