Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

[emoji91] HOT DEAL!!!!!![emoji91] [emoji336]'NEW LG G4' [emoji832]CAMERA: Back: 16MP (2160) Laser Front: 5Mp [emoji832]STORAGE: 32Gb [emoji832]RAM: 3Gb [emoji832]BATTERY: 3000...
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Kiwanja hicho kiwe kiwe kibaha mail moja Pangani, Mlangizi shamba, Kibaha kwa matiasi, Mkulanga Kimanzi chana Kibindu Bagamoyo, Kibiti ikwiriri mbagala kongowe na kwengine. Kisizidi laki 8 ntalipa...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Katika mataifa makubwa dunia yalioendelea dunia yalifanikiwa kufikia utajiri mkubwa duniani kwa kuwekeza Elim bora ktk Taifa lao. Elimu iliowekezwa haikua Elim za ujanja ujanja, Hii ilikua...
1 Reactions
0 Replies
680 Views
Pikipiki inauzwa ikiwa IPO kwenye hal nzuri....ukinunua tu safari maana IPO vizuri sana... bei yetu 6,000,000/= bei yetu inaruhusu Mazungumzo
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wadau natafuta mbwa mwenye asili ya German Shepherd au pure breed kwa mwanza nipm au ncheki watsup 0756181677
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Naomba mwenye ufahamu anisaidie. Nahitaji kubwa na imara 0784197727 SMS, whatsapp au piga
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji meza na viti vya plasitiki(used) vilivyo katika hali nzuri mwenye navyo anipm plz
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani habari!………nahitaji spika na mic kwaajili ya maulid ntapata wapi???[emoji33]
0 Reactions
0 Replies
432 Views
Nauza nusu lita 5000 na lita ni 10000 ni asali mbichi,karibuni nyote ukihitaji ni pm Mikoani pia tunatuma!
0 Reactions
3 Replies
753 Views
Nauza tablet aina ya htc nexus. Ni mpya kabisa na naiuza sababu sina matumizi nayo. Kama uko intrested number yngu hii hapa 0712220207 au 0742194328
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Ninahitaji rav 4 old model namba C au D isiwe nyekundu wala nyeupe nina 9m cash,km itapatikana mwanza au geita itakua nzuri zaidi.
0 Reactions
3 Replies
908 Views
Anayeuza kingamuzi cha startimes kinachotumika kwenye satellite dish naomba tuwasiliane
0 Reactions
2 Replies
641 Views
Hi Guys!! Naulizia availability ya car care products especially in Dar es salaam!! Kwa anayefahamu; ningependa kufahamu ni wapi hasa naweza kuzipata. Car care products ninazoulizia ni pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Wakuu habari za leo. Naomba msaada wenu. Mke wangu anapenda sana leo ale Uyoga na mimi sijui pale unapouzwa. Naomba mnielekeze tafadhali. Asanteni sana!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
RevenueBrust.com - Earn 10$ Per Referral Link Visit ! Earn 2000$ monthly from home
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Hello. Tairi used za aina ya Bridgestone Blizzak All seasons size 215/70/16 zinauzwa, ziko nne. Bado kilometer 10000 kuisha. Bei 25000@. Ni inbox.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Make : Toyota Model : Kluger Mileage : 128,970km Engine size: 2,400cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2001 Doors : 5 Seats...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : Kluger Mileage : 128,970km Engine size: 2,400cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2001 Doors : 5 Seats...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani napanda ukujukwaani kutoa hitaji langu.nina tv yangu lg 3d lakin ninauhaba wa movie za 3d sina ata moja kila nikienda wanapouza movie hiz za kubarni awana nimezunguka sana naomba kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu PC inauzwa 230,000,Tsh.ina specification zifuatazo. Ram 2Gb Processor 2Gb Hard disc 320Gb Tatizo lake ni betri tu ndo halikai na charge.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…