Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natafuta mtu anayehusika na upulizi wa dawa za kuua wadudu majumbani maarufu kama fumigation. Iwe mtu binafsi au kampuni, napatikana Dar es Salaam.
Mhusika...
Habari wadau,
Husika na kichwa hapo juu, mwenye printer aina ya Epson l800 iwe mpya au mtumba iliyo katika hali nzuri naomba aje inbox tufanye biashara ninahitaji.
Wasaalam...!
Napenda kuwa tambulisha kwenu sehemu nzuri ya kupumzika kama upo Arusha ,
Hii Iko Maeneo ya Njiro kama Kilomita 8,kutoka Clock tower, Inaitwa Njiro Climax resorts.
Ina Eneo Zuri Kwa Events...
Vyumba vinapangishwa vipo mbezi mwisho.njia ya kwenda mbezi-Tangi bovu ,chumba na sitting room.vipo ndan ya get,vyoo vyake pekee yake .kuna parking ya gari ,ni sehemu tulivu sn.sh 100,000 kwa...
Nafanya Events Planning, Nahitaji kufanya Simulation za Events kama HArusi nk kabla ya tukio lenyewe..
Nahitaji mtu atakayeweza kunitengenezea floor plan, ceiling, arrangement ya viti, maua...
Marinated chicken tandoor/sekela or lemon wapo wakutosha...will be in town leo if any1 is in interested niambie mapema nikuletee kwa bei ya elfu 6 tu...karibuni wapendwa...wasiliana na mimi...
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili lipo Buswelu ilalila karibu na Centa sokoni bei ni mil tano na nusu tu
Tafadhali Tizama video ya shamba uzuri wa eneo ili watu wamejenga unaweza kuchukua shamba...