Shamba bei poa Mwanza Buswelu

Shamba bei poa Mwanza Buswelu

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
883
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili lipo Buswelu ilalila karibu na Centa sokoni bei ni mil tano na nusu tu
Tafadhali Tizama video ya shamba uzuri wa eneo ili watu wamejenga unaweza kuchukua shamba ukajenga na kuweka miradi yako kama ufugaji na kilimo
Nimejaribu ku upload picha imegoma
Kama utahitaji plz chek me WhatsApp kwa 0763772636 karibuni sana
 
Umbali toka Mjini Kati kufika Shamba Kilometa Ngapi?
Miundombinu ya Barabara, umeme na maji ikoje?
Umilki Una status gani?Lina offer?
 
Umbali toka Mjini Kati kufika Shamba Kilometa Ngapi?
Miundombinu ya Barabara, umeme na maji ikoje?
Umilki Una status gani?Lina offer?
Sijui kukadiria ila unapanda gari za Buswelu unashukia ilalila Centa kutoka hapo kituoni hadi sehemu ya eneo ni dakika tano hadi Saba kwa miguu nauli ni 500 kutoka mjin kati so wew piga mahesabu yako ya kilometa kwa ufafanuzi huu
 
Umbali toka Mjini Kati kufika Shamba Kilometa Ngapi?
Miundombinu ya Barabara, umeme na maji ikoje?
Umilki Una status gani?Lina offer?
Miundo mbinu iko vizuri maji umeme upo tena kama unaweza ukagawa vikawa viwanja coz sehemu shamba lilipo na kituo Cha daladala ni dakika tano hadi Saba kumejengeka tayari
Kuhusu offa kiukwel kwa sasa tupo kwenye upimaji shirikishi nilijaribu kufuatilia upimaji binafsi nikaona upo juu sana zaidi ya mil 5 ndo kijiji tukajipanga kuna account imefunguliwa kila mwenye eneo atachanga laki moja na nusu then wataalam watakuja kutupimia kwa pamoja
 
Sijui kukadiria ila unapanda gari za Buswelu unashukia ilalila Centa kutoka hapo kituoni hadi sehemu ya eneo ni dakika tano hadi Saba kwa miguu nauli ni 500 kutoka mjin kati so wew piga mahesabu yako ya kilometa kwa ufafanuzi huu
mbona Buswelu tuu hakuna maeneo mengine
 
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili lipo Buswelu ilalila karibu na Centa sokoni bei ni mil tano na nusu tu
Tafadhali Tizama video ya shamba uzuri wa eneo ili watu wamejenga unaweza kuchukua shamba ukajenga na kuweka miradi yako kama ufugaji na kilimo
Nimejaribu ku upload picha imegoma
Kama utahitaji plz chek me WhatsApp kwa 0763772636 karibuni sana
Kolomije siwezi kupata?
 
Umbali toka Mjini Kati kufika Shamba Kilometa Ngapi?
Miundombinu ya Barabara, umeme na maji ikoje?
Umilki Una status gani?Lina offer?
Nami ni mwenyeji wa buswelu
Kulingana na mtoa mada
1. Umbali kutoka mjini kati mpaka hiyo sehemu ni kama 20 km approx
2. Miundombinu siyo mizuri sana ila kwa sasa ndio naona wanajiandaa kuweka lami, maji na umeme kiwastani huduma yake inaridhisha ukilinganisha na sehemu zingine
 
Mteja ni mfalme uzuri upimaji shirikishi umeanza so waweza kupima shamba au waweza kuligawa kuwa katika plots baadae ukauza kwa bei uipendayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom