INAHITAJIKA MIKANDA YA KIMASAI...

INAHITAJIKA MIKANDA YA KIMASAI...

Yellow bone

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2017
Posts
256
Reaction score
330
Habar wadau
Ninatafuta mikanda ya kimasai kama ilivyo kwenye picha...
Nahitaji nina order kubwa..kama unamtu unamfaham anatengeneza naomba anisaidie mawasiliano..
Thanks wadau.
 

Attachments

  • Screenshot_20170701-120427.png
    Screenshot_20170701-120427.png
    316.6 KB · Views: 67
Upo wapi, ungekua Arusha ungeipata kwa unafuu tokea kwa watengenezaji wenyewe ila ukiinunua curio bei itakua ipo juu kidogo
 
Back
Top Bottom