atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,552
- 9,806
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa hii no ni tapeli anajifanya anafanya kazi vodacom huduma kwa wateja
Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya kuipokea tu sim jamaa anaongea as if (anafanyakazi voda)basi akanitaja jina langu mm nikamuitikia naamu nakusikiliza,akaniuliza umetumiwa pesa M pesa muda mfupi uliyopita mm nikamjibu sijui kwasababu sijasikia notification yeyote imeingia kwenye sim yangu,akaniambia vodacom inafanya marekebisho kwenye system ya mpesa so kuna maelekezo ntakuwa nakuelekeza inabid unayafuatilize ili uweze kuendelea kupokea na kutuma miamala ya M pesa,mimi wakati huo namsikiliza tu sijaongea chochote,akaniambia hebu angalia kama kuna hela imeingia mm nilichomjibu tena kwa sauti ya ukali "niangalie ili iweje na uhakika unafanya kazi voda?"kwasababu nnavyojua voda kama voda kama kuna tatizo watawasiliana na ww kwa no 100,basi jamaa akakata sim nikajaribu kumpigia kwani anapokea sim mm nilichofanya nilimtumia tu sms ya kumuonya
Nb:watu wengi sana wanalalamika acc zao za M pesa kuibiwa hela zinazokuwemo humo,iwapo na mm ningekubali kufuata maelekezo ya jamaa lzm salio lilipo kwenye acc yangu ya Mpesa lingeyeyuka
Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya kuipokea tu sim jamaa anaongea as if (anafanyakazi voda)basi akanitaja jina langu mm nikamuitikia naamu nakusikiliza,akaniuliza umetumiwa pesa M pesa muda mfupi uliyopita mm nikamjibu sijui kwasababu sijasikia notification yeyote imeingia kwenye sim yangu,akaniambia vodacom inafanya marekebisho kwenye system ya mpesa so kuna maelekezo ntakuwa nakuelekeza inabid unayafuatilize ili uweze kuendelea kupokea na kutuma miamala ya M pesa,mimi wakati huo namsikiliza tu sijaongea chochote,akaniambia hebu angalia kama kuna hela imeingia mm nilichomjibu tena kwa sauti ya ukali "niangalie ili iweje na uhakika unafanya kazi voda?"kwasababu nnavyojua voda kama voda kama kuna tatizo watawasiliana na ww kwa no 100,basi jamaa akakata sim nikajaribu kumpigia kwani anapokea sim mm nilichofanya nilimtumia tu sms ya kumuonya
Nb:watu wengi sana wanalalamika acc zao za M pesa kuibiwa hela zinazokuwemo humo,iwapo na mm ningekubali kufuata maelekezo ya jamaa lzm salio lilipo kwenye acc yangu ya Mpesa lingeyeyuka