wakata bodi

wakata bodi

billz949

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
311
Reaction score
73
Habari wadau...ninahitaji mawasiliano na mtu anaejua ama kuhusika na kukata bodi ama jina lingine kuchinja....mimi nina gari zangu mbili ninataka kuchinja ila kabla sijafanya hivyo nahitaji kujua estimated pesa nitakayoipata. Kama unaelewa tafadhali tujuzane.....njoo kwa PM
 
Ungesema aje PM, sio vizuri kuanika namba yako hapa
 
Back
Top Bottom