Probox inahitajika

Probox inahitajika

skfull

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
2,944
Reaction score
2,385
Rejea kichwa cha habari hapo juu Kama kuna mwenye gari station wagon, kwajina Probox Anaeuza naomba ani pm tufanye biashara bei Ml. 5.5
 
Acha matusi mkuu, 5.5m!! Hauko serious.

Kama utapata ambaye ameitumia sana labda kwa 8-9m, ila 5 utakua umenunua guta, kwenye mpando unasukuma huku umekanyaga accelerator
 
Na kama unataka probox nenda Tarime utazikuta nyingi sana. Na useme hiyo 5.5 yako kama hawajakugawana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom