Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta duka la chemical ambalo linauza chemicali kwa reja reja Dar au Arusha. Nahitaji propylene glycol(PG). Kwa anayefahamu duka lolote nitakaloweza pata hiyo glycerin naomba aniambie.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza sungura wa kisasa mmoja 30,000 nipo mbezi makabe Dar Call/whatsapp 0753534514
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa yoyote anaeuza king'amuzi cha Azam chenye dikoda, waya na dish lake kina hitajika leo.Pesa iliyopo ni elfu sabini(70,000/=). Piga simu hii fasta. Nipo Dar. 0784 999 995.
0 Reactions
4 Replies
899 Views
Salaam kwenu wakuu! Ninauza ubuyu wa Babu Issa toka znz. Ni ubuyu mtamu sana wenye pilipili vimto pamoja na vanila. Ambao wanaufahamu watashuhudia jinsi ulivyo mtamu. Packet moja kama...
1 Reactions
18 Replies
13K Views
Azamtv sasa inakuletea kifurushi cha wiki yaani siku 7 kwa Tsh 5,000 tu kwa chanel 50 ....
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kujua hapa dar es salaam ni showroom gani yenye vitanda vizuri na imara pamoja na sofa nzuri na imara kwa bei anayoweza kui-access mtu yeyote mwenye kipato cha kawaida ila anayependa vitu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za asubuhi? nilikuwa nauliza maduka yanayouza simu za sony na vifaa vyake nitayapata wapi kwa Dar-we-salaam?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu nauza mbuzi jike mkubwa na mdogo dume. Ukitaka kwa wote bei ni laki 140 na wapo katika hali njema. Ukitaka mmoja wapo ni maelewano. Mbuzi wanapatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza sungura wa kisasa mmoja 30,000 nipo mbezi makabe Call/whatsapp 0753534514
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyosema,natafuta nyumba. Sitaki madali. Nataka mwenye nyumba tu awasiliane na mimi. Maeneo: Mbezi,'Mikocheni Tozo:Laki tano ndio bajeti yetu,itategemea na eneo husika. Nyumba...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Wakuu amani iwe kwenu wote. Nimefungua kiwanda cha kusagisha na kupack unga wa mahindi wa Sembe na Dona. Taarifa za mradi ni hizi. 1. Mashine ipo Mbalizi Mbeya. 2. Ina uwezo wa kusaga Unga wa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Za siku wanajamvi, Ndugu zangu natafuta photo printer yenye uwezo wa kuprint picha za nchi 5 kwa 7 na kuendelea. Mashine nayojua yenye uwezo huo ni HiTi P510K, nimeitafuta Arusha na Moshi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau natafuta Nyumba ya kupanga kama apartment. Iwe na Room 2 moja iwe ni Master na iwe ndani ya Fens, maji ya Uhakika. Contact me : 0714880007 Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni Vitu gani unaweza kuuza kirahisi toka Marekani ?
0 Reactions
0 Replies
374 Views
Nikisema OFFER namaanisha OFFER kweli kweli kwa ajili yako mteja wangu.. Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia yaani hazina viambata sumu. Pia kwa wale waliotumia vipodozi...
0 Reactions
3 Replies
733 Views
Azamtv sasa inakuletea kifurushi cha wiki yaani siku 7 kwa Tsh 5,000 tu kwa chanel 50 ....
0 Reactions
1 Replies
837 Views
Make : Nissan Model : Civilian Mileage : 97,419km Engine size: 4,200cc Gasoline : Diesel Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Manual M/Year : 1999 Doors : 2 Seats : 29...
0 Reactions
1 Replies
996 Views
mwenye nayo iwe nzima lakini pia iwe original aje hapa na bei
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Sim inauzwa Samsung J1 Ace haina tatzo lolote
0 Reactions
0 Replies
432 Views
Back
Top Bottom