Natafuta duka la chemical ambalo linauza chemicali kwa reja reja Dar au Arusha.
Nahitaji propylene glycol(PG).
Kwa anayefahamu duka lolote nitakaloweza pata hiyo glycerin naomba aniambie.
Kwa yoyote anaeuza king'amuzi cha Azam chenye dikoda, waya na dish lake kina hitajika leo.Pesa iliyopo ni elfu sabini(70,000/=).
Piga simu hii fasta. Nipo Dar. 0784 999 995.
Salaam kwenu wakuu!
Ninauza ubuyu wa Babu Issa toka znz. Ni ubuyu mtamu sana wenye pilipili vimto pamoja na vanila. Ambao wanaufahamu watashuhudia jinsi ulivyo mtamu.
Packet moja kama...
Naomba kujua hapa dar es salaam ni showroom gani yenye vitanda vizuri na imara pamoja na sofa nzuri na imara kwa bei anayoweza kui-access mtu yeyote mwenye kipato cha kawaida ila anayependa vitu...
Wakuu nauza mbuzi jike mkubwa na mdogo dume. Ukitaka kwa wote bei ni laki 140 na wapo katika hali njema. Ukitaka mmoja wapo ni maelewano. Mbuzi wanapatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Mawasiliano...
Kama kichwa kinavyosema,natafuta nyumba.
Sitaki madali. Nataka mwenye nyumba tu awasiliane na mimi.
Maeneo: Mbezi,'Mikocheni
Tozo:Laki tano ndio bajeti yetu,itategemea na eneo husika.
Nyumba...
Wakuu amani iwe kwenu wote. Nimefungua kiwanda cha kusagisha na kupack unga wa mahindi wa Sembe na Dona. Taarifa za mradi ni hizi.
1. Mashine ipo Mbalizi Mbeya.
2. Ina uwezo wa kusaga Unga wa...
Za siku wanajamvi,
Ndugu zangu natafuta photo printer yenye uwezo wa kuprint picha za nchi 5 kwa 7 na kuendelea.
Mashine nayojua yenye uwezo huo ni HiTi P510K, nimeitafuta Arusha na Moshi...
Wadau natafuta Nyumba ya kupanga kama apartment. Iwe na Room 2 moja iwe ni Master na iwe ndani ya Fens, maji ya Uhakika. Contact me : 0714880007
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nikisema OFFER namaanisha OFFER kweli kweli kwa ajili yako mteja wangu..
Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia yaani hazina viambata sumu.
Pia kwa wale waliotumia vipodozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.