Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Aina ya Miti ni pine Zipo ekar 10 Miti INA umri Wa miaka 5 Linauzwa pamoja na ardhi Bei ni million kumi na tano Lipo ktk Tarafa ya Lupembe mkoan NJOMBE Kwa mawasiliano zaid piga...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wana JF, bila shaka mu wazima, nahitaji msaada wenu, natafuta sehemu ya kufungua biashara ya chakula (Mgahawa) naishi Dar kama tapata maeneo ya mwenge, makumbusho, victoria au maeneo ya...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari zenu wadau, Straight to the point natafuta frame kwa ajili ya restaurant hapa Dar, hasa maeneo yenye watu wengi au watu wengi wanapokutanika. Tafadhali naomba msaada wenu wadau nianze...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Make : Volkswagen Model : Golf GTI Mileage : 117,000km Engine size: 2,000cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2006 Doors : 4...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hp probook 6360b used with good condition , #processor 2.3ghz #Ram 4 #battery 2-3 hours *negotiation is allowed* #price 350000 Tsh contact no. 0719792928 location dar es salaam...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
+255 657 685 268 WhatsApp! Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha! 1 chumba master 2 vyumba vya kawaida Sebure, Dining, jiko na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari za humu wadau?.., ninakusanya ukwaju usiopungua tani moja na nusu, kwa aliye tayari kununua anaweza kunifuata inbox kwa maongezi zaidi. Karibuni!
1 Reactions
12 Replies
4K Views
We are the best producers of quality and affordable school sweater. Please contact us for more details.
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Habari wakuu jf. Chukua hio hela hapo nipe simu tecno C 8.
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Ni sehem gan kwa dar es salaam wanauza vitu vya kielectronics kma vile sim, TVs PC's games etc kwa bei rahisi ukiachilia mbali kariakoo.... Msaada tafadhari
0 Reactions
3 Replies
853 Views
Zinauzwa bei gani hizi? Napenda kufahamu bei yake ya dukani bila kudanganyana
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Anayehitaji machine ya maximalipo ani-pm tuongee
1 Reactions
4 Replies
1K Views
.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Toyota Corolla X inauzwa<br />Gari iko vizuri sana na haidaiwi,<br />Kwa mawasiliano zaidi nitafute kwa<br />0652953807<br />kinyashi41@gmail.com
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Internal 16 GB, RAM 2 GB, camera back 13 megapixels.front 13 megapixels, iris scanner..bei ni 190,000 haipungui njoo pm kwa serious buyer.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Naomba yoyote aliye freelancer aje hapa tupeane mbinu za kuwin bid na mengineyo please.
0 Reactions
2 Replies
642 Views
Habari,kichwa cha habari chahusika,nimepata tatizo kidogo so kwa anayeweza kunikopesha kiasi tajwa hapo juu. Ninafanya kazi na kat ya tarehe 1 mpaka 3 nitakuwa nalipa so kwa siku kumi tu.Kuhusu...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Vitabu vya bure Public Domain | Feedbooks
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Natafuta duka la chemical ambalo linauza chemicali kwa reja reja Dar au Arusha. Nahitaji propylene glycol(PG). Kwa anayefahamu duka lolote nitakaloweza pata hiyo glycerin naomba aniambie.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom