Aina ya Miti ni pine
Zipo ekar 10
Miti INA umri Wa miaka 5
Linauzwa pamoja na ardhi
Bei ni million kumi na tano
Lipo ktk Tarafa ya Lupembe mkoan NJOMBE
Kwa mawasiliano zaid piga...
habari wana JF, bila shaka mu wazima,
nahitaji msaada wenu, natafuta sehemu ya kufungua biashara ya chakula (Mgahawa) naishi Dar kama tapata maeneo ya mwenge, makumbusho, victoria au maeneo ya...
Habari zenu wadau,
Straight to the point natafuta frame kwa ajili ya restaurant hapa Dar, hasa maeneo yenye watu wengi au watu wengi wanapokutanika.
Tafadhali naomba msaada wenu wadau nianze...
Make : Volkswagen
Model : Golf GTI
Mileage : 117,000km
Engine size: 2,000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2006
Doors : 4...
hp probook 6360b used with good condition ,
#processor 2.3ghz
#Ram 4
#battery 2-3 hours
*negotiation is allowed*
#price 350000 Tsh
contact no. 0719792928
location dar es salaam...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
Habari za humu wadau?.., ninakusanya ukwaju usiopungua tani moja na nusu, kwa aliye tayari kununua anaweza kunifuata inbox kwa maongezi zaidi. Karibuni!
Ni sehem gan kwa dar es salaam wanauza vitu vya kielectronics kma vile sim, TVs PC's games etc kwa bei rahisi ukiachilia mbali kariakoo....
Msaada tafadhari
Habari,kichwa cha habari chahusika,nimepata tatizo kidogo so kwa anayeweza kunikopesha kiasi tajwa hapo juu.
Ninafanya kazi na kat ya tarehe 1 mpaka 3 nitakuwa nalipa so kwa siku kumi tu.Kuhusu...
Natafuta duka la chemical ambalo linauza chemicali kwa reja reja Dar au Arusha.
Nahitaji propylene glycol(PG).
Kwa anayefahamu duka lolote nitakaloweza pata hiyo glycerin naomba aniambie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.