Msaada: Biashara ya kununua vitu Dubai

Msaada: Biashara ya kununua vitu Dubai

Malingumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
616
Reaction score
433
Habarini..
naomba mwenye uelewa na hii biashara anipe mwanga...
natarajia kuanza biashara ya kuchukua vitu vidogovidogo Dubai na kuleta nchini..
je,
-Gharama ya usafiri ipoje?(mtu binafsi)
-Gharama na namna nzuri ya kusafirisha bidhaa tokea kule.
-Malazi,na makazi mazuri na salama wakati nipo kule nikiandaa mzigo wangu
-mengineyo

Asante.
 
Ukienda usiweke usiku,siku mbili uwe umegeuza,ila vitu vdogo kama nn ili tukupe njia za kusafirisha,kama vitu vinabebeka kwa beg unaweza kuja navyo kwa ndege na uhakikishe unalipa ushuru pale airport,na pia kama ndio mara ya kwanza kwenda make surw unakua na mtu muelewa wa mji kule na maduka awe anajua vizur,good luck. First to reply
 
Ukienda usiweke usiku,siku mbili uwe umegeuza,ila vitu vdogo kama nn ili tukupe njia za kusafirisha,kama vitu vinabebeka kwa beg unaweza kuja navyo kwa ndege na uhakikishe unalipa ushuru pale airport,na pia kama ndio mara ya kwanza kwenda make surw unakua na mtu muelewa wa mji kule na maduka awe anajua vizur,good luck. First to reply
asante...kwa kuanzia vinaweza kuwa vichache
 
Ukienda usiweke usiku,siku mbili uwe umegeuza,ila vitu vdogo kama nn ili tukupe njia za kusafirisha,kama vitu vinabebeka kwa beg unaweza kuja navyo kwa ndege na uhakikishe unalipa ushuru pale airport,na pia kama ndio mara ya kwanza kwenda make surw unakua na mtu muelewa wa mji kule na maduka awe anajua vizur,good luck. First to reply
Bila mtu atapotea au inakuwaje maana sioni uhitaji wa mwenyeji kama unajua kusoma na kuandika kiingereza
 
Bila mtu atapotea au inakuwaje maana sioni uhitaji wa mwenyeji kama unajua kusoma na kuandika kiingereza
Kichwani kwako umeweka kingereza ndio kila kitu. Unadhani kujua kingereza ndio umeshamaliza au kufanikiwa kwa chochote
 
Kichwani kwako umeweka kingereza ndio kila kitu. Unadhani kujua kingereza ndio umeshamaliza au kufanikiwa kwa chochote
Dubai sio mji wa kupotea watu wanaongea Kiingereza maelezo yote yameandikwa Kiingereza sasa mwenyeji wa nini? Ukiwa Shangai si ndio utataka msafara kabisa
 
Dubai sio mji wa kupotea watu wanaongea Kiingereza maelezo yote yameandikwa Kiingereza sasa mwenyeji wa nini? Ukiwa Shangai si ndio utataka msafara kabisa
Unapafahamu dubai? Na kama unapafahamu basi msaidie mleta hoja na sio theory. Watu wanapotea au wanahitaji mwenyeji tandika. au kariakoo Itakuwa dubai
 
Unapafahamu dubai? Na kama unapafahamu basi msaidie mleta hoja na sio theory. Watu wanapotea au wanahitaji mwenyeji tandika. au kariakoo Itakuwa dubai
Wenyeji ndio wapigaji shuka Airport kamata Metro nenda hotelini kamata metro nenda shoping kamata bus
Tatizo wote mnataka watu wapande Tax na kuwa na guide kama wote ni matajiri
 
Wenyeji ndio wapigaji shuka Airport kamata Metro nenda hotelini kamata metro nenda shoping kamata bus
Tatizo wote mnataka watu wapande Tax na kuwa na guide kama wote ni matajiri
Metro ni nini?
 
Wenyeji ndio wapigaji shuka Airport kamata Metro nenda hotelini kamata metro nenda shoping kamata bus
Tatizo wote mnataka watu wapande Tax na kuwa na guide kama wote ni matajiri
Mtu mara ya kwanza kuja dar kutoka kwenu huko Sikumbala anataka kununua mzigo wa maana kkoo na anachemka na wote tunaongea kiswahil,ndio mgen nchi ya watu? Kuna watu kibao kila siku wanasafiri anaweza unga nao tela mara mbili anakua na kauzoef kdogo,sio kukurupuka tu
 
Anaona raha tu kutaja metro. Sasa unachukua metro unaenda hotelini wapi. Shopping wapi. Kuna watu hapa tanzania hawajui hata daladala zinapanda vipi Itakuwa metro
 
Mtoa madaa jaribu kutafuta mtu ambaye mwenyeji huku la sivyo hizo hela za biashaea zote zitaisha maana huku hawa jamaaa wajanja sanaa ukienda kununua vitu kama bujui bei
 
Habarini..
naomba mwenye uelewa na hii biashara anipe mwanga...
natarajia kuanza biashara ya kuchukua vitu vidogovidogo Dubai na kuleta nchini..
je,
-Gharama ya usafiri ipoje?(mtu binafsi)
-Gharama na namna nzuri ya kusafirisha bidhaa tokea kule.
-Malazi,na makazi mazuri na salama wakati nipo kule nikiandaa mzigo wangu
-mengineyo

Asante.
Kuna vitu muhimu vya kuvijua kabla hajaondoka .....
1)Bidhaa unayo hitaji huko LAZIMA ujue wapi inauzwa sehem husika kwa bei ya rahas.
2)wapi utakaa kwa bei rahasi( hotel )
3)Utasafirisha vipi mzigo wako
4)lazima ujue thaman ya hela ya sehem husika ...hii ndio muhimu sn .

Kuna mambo meng sn unatakiwa kujua
Ushaur wangu nakupa... Kama ndio mara yako ya kwanza kwenda huko AU kufanya biashara za kusafari NCHI za NJE ...Nenda kama unafanya FEASIBILITY STUDY tu.... usiende na mtaji wako wote kwanza..nakama ukihitaji kununua bidhaa utanunua vitu vya kucover cost yk .


Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom