Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 433
Habarini..
naomba mwenye uelewa na hii biashara anipe mwanga...
natarajia kuanza biashara ya kuchukua vitu vidogovidogo Dubai na kuleta nchini..
je,
-Gharama ya usafiri ipoje?(mtu binafsi)
-Gharama na namna nzuri ya kusafirisha bidhaa tokea kule.
-Malazi,na makazi mazuri na salama wakati nipo kule nikiandaa mzigo wangu
-mengineyo
Asante.
naomba mwenye uelewa na hii biashara anipe mwanga...
natarajia kuanza biashara ya kuchukua vitu vidogovidogo Dubai na kuleta nchini..
je,
-Gharama ya usafiri ipoje?(mtu binafsi)
-Gharama na namna nzuri ya kusafirisha bidhaa tokea kule.
-Malazi,na makazi mazuri na salama wakati nipo kule nikiandaa mzigo wangu
-mengineyo
Asante.