Dalali huyuKwa utangazaji huu hata hizo karanga unazo kweli?
Upo wapi, gunia unauzaje?Jamani natafuta soko la kuuza karanga
Msaada wanaojua bei nzuri ya Karanga kwa soko la sasa ni shingapi? na Msaada mwingine kunifanyia connection na Diamond Karanga nimuuzie hizi guniaa
Daah,we ndo huyo kwa Avatar?Nyingine umezila mwenyewe?mbona tumbo limekushinda kunyanyua?
Mijitu mingine hadi mnaboa, weka tangazo katika mfumo nilokwambiaNipo Mpanda Gunia 43
Sent from my Infinix HOT 3 using JamiiForums mobile app
Sasa elimu darasa la 7 tena nimesoma kwa kutoroka toroka sielewi hiyo lugha ya Trump nisaidie tuu msaadaMijitu mingine hadi mnaboa, weka tangazo katika mfumo nilokwambia
spend less, save more
Umejuaje kama ni lugha ya trump?Sasa elimu darasa la 7 tena nimesoma kwa kutoroka toroka sielewi hiyo lugha ya Trump nisaidie tuu msaada
Sent from my Infinix HOT 3 using JamiiForums mobile app
Teh teh teh [emoji2]Kwa utangazaji huu hata hizo karanga unazo kweli?