Natafuta Soko la Maziwa

Natafuta Soko la Maziwa

Ngozi Joram

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
662
Reaction score
546
Wakuu habari zenu,natumai hamjambo. Naomba kujua mwenye dondoo kuhusu soko la maziwa fresh. Nina chanzo cha kuaminika kusupply kati ya lita 80 hai 100 k2a siku

Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
 
Ongea na wenye supermarket, au tafuta packaging system uwe unayauza yakiwa tayari processed. Uko mkoa gani mkuu?
 
Nipo dar Boss wangu

Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
 
Gulia la maziwa lipo hapo ubungo mataa kila siku alfajiri

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom