Natafuta gari ndogo

Natafuta gari ndogo

Spirit

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
457
Reaction score
383
Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
 
Ongeza 2.5 nikupr toyota runx namba B iliyotunzwa vizuri.
Picha nashindwa ku upload
 
Vitz no cpj dark blue uko bomba 6m

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
Alteza used 6.8M, imetembea KM 153000, ipo katika hali nzuri haidaiwi
 
Nna kimaruti changu 5.3 m

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil
Weka 2M nyongeza nikupe spacio Kali sana.

sent from my BBC using JamiiForums mobile app
 
Alteza used 6.8M, imetembea KM 153000, ipo katika hali nzuri haidaiwi
Siku hizi kuna kudaiwa nini? Au ndo umezoea kusema hilo neno

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jf. Natafuta gari ndogo mf ist kama kuna mtu anauza nijuze please isizid 6 mil


Pale kituo cha Victoria hivyo vigari vidogo vidogo vinapatikana mida ya jioni, kuna wamachinga wanaviuzaga kuanzia 10,000 kwenda mbele.
 
Kwa hiyo bei utapata Vitz na Passo lakini Ist itabidi uongeze hela.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom