Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu! Nahitaji Laptop iwe na hard disc kubwa kuanzia 320Gb Ila processor na ram iwe yoyote.sijangui kwa upande wa pro na ram. N:B Iwe kdg Toleo...
0 Reactions
6 Replies
840 Views
Nianuza mbwa jamii YA pet... Kuna wawili majike wana miezi 7 na wengine wadogo wa miezi 2 vijike vipo 2 na vidume 3 karibuni tabata.... Bei ni maelewano wameshapatiwa chanjo YA pavo, Vitamini na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani habari za mida hii wanajamvi, Nauliza ni wapi wanakouza TV Showcases nzuri na kwa bei nafuu. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
944 Views
CC 1990, AB ABS AW FOG NV, 4WD Total cost Tsh 11Mil pamoja na ushuru Agiza nami kwa: call/whatsapp: +255715471659 e:hamoudautocom@gmail.com ...Wakati wote ni wakati wa kazi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya jioni wadau kuna Kiwanja kipo barabara ya kwenda goba mita 300 kitoka lami kipo vizuri sana umeme na maji yapo bei mil 25 ameanzia njoo uwone Kiwanja ukubwa ni 25 Kwa 30 karibuni #...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Anayeuza Gari hasa Noah aniPM Iwe ktk hali nzuri. Masharti na vigezo kuzingatiwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salamu salama... Humu ndani Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Pata vifaranga bora kabisa aina ya Chotara vya kuanzia wiki 1 na kuendelea kwa ajili ya utagaji bora wa mayai ya kienyeji. Pia tunapokea oda za mayai kwa ajili ya kutotolesha, mashine zetu zina...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Habari wadau. Nina tangawizi mbichi tani 70 zipo tayari kwake kuuzwa. Mwenye soko la uhakika tuwasiliane kwa # 0655707780.Ahsanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Color Black, CC 1990, AW FOG HID SEAT-HEATER NV TV Total Cost Tsh11.7Mil pamoja na ushuru Wasiliana kwa: call/whatsapp: +255715471659
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Wenye kuhitaji unga WA muhogo tafadhali tuwasiliane 0764601903
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ubia wa kibiashara (Women Saloon) Anatafutwa mtu yeyote ambaye yupo tayari kuingia ubia wa kibiashara Katika biashara ya Saloon ipo njia panda ya chuo Sifa zinazohitajika. 1. Awe mwenye uwezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama Tangazo linavyosomeka hapo, nauza laptop yangu 450,000/= yenye specifications zifuatazo :- Processor Core-i3 RAM 4GB HARD DISK 250 GB, laptop ni nzima kabisa haina tatizo lolote unaruhusiwa...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
[emoji574] [emoji574] AUGUST SALE: 12 chicken egg automatic, CONTACT ONLINE CUSTOMER SERVICE: whatsapp/ sms 0682662558 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Ninaaina ya tourmaline ambayo kwa nje nyeusi uki piga tochi ni green and yellow mwenye oda tuwasiane kupitia pm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Color Beige, CC 1490, AB ABS NV P-DOOR, 42,000km Total cost Tsh 9.8Mil pamoja na ushuru Agiza nami kwa: call/whatsapp: +255715471659 e:hamoudautocom@gmail.com ...Wakati wote ni wakati wa kazi...
1 Reactions
2 Replies
941 Views
Ndugu zanguni naomba msaada, kuna dawa nimekuwa nikiitafuta madukani bila mafanikio, kipindi cha zamani ilikuwa inaitwa 'Salimia' kwa yeyote anayejua zinapopatikana anijulishe tafadhari, au dawa...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Natafuta kiwanja mapinga mbele ya bunju kama unaenda bagamoyo Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
1 Reactions
2 Replies
723 Views
wakuu nina mahindi kwenye gari tani 32 yapo dar bei ni 590 kwa kilo. contact Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
18 Replies
3K Views
FURSA KUBWA KWA WATANZANIA!! AIM GLOBAL... Je ungependa kuwa na kipato cha ziada? Je unatafuta ajira ya kufanya kwa mda wako wa ziada au ya kudumu ? Tunatafuta watu wanaoweza kujituma wenyewe na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…