Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Amani ya Mungu iwe Nanyi wakuu nina fedha za kizamani nauza kwa yeyote mdau wa hili tuwasiliane(pm). Sarafu ni za pre na post Uhuru kwa maana za Malkia na Kambarage, pia msaada wa soko kwa...
0 Reactions
3 Replies
727 Views
Kuanzia mwez wa kumi ntakuwa na bidhaa izo hapo kwa atakayeitaj anaweza niona kwa number zifuatazo 0718040208 free delivery kwa mtu atakayechukua kuanzia kg 1000 kwa bidhaa ya nyanya na mboga...
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Tecno C8 ipo sokoni, bei 150,000.Napatikana Kongowe-Kibaha.. Njoo PM tuyajenge.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habar, Nauza simu aina ya TECNO W4, simu ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote na imetumika miez 4 tu. Nauza kwa sababu nataka nipate pesa ya kodi ya chumba ya miez mitatu. Bei ni Tsh...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Solar water heater zenye ubora wa kudumu kwa miaka zaidi ya 20 katika ubora ule ule. Okoa bill ya umeme kwa kupata maji ya moto kwa kutumia jua. Unapaa maji ya moto usiku na mchana. Tunafunga...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya popcorn ilotumika na bado ipo ktk mazingira mazuri,mwenye nayo anicheki kwa namba 0755379743
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Imetumika wiki moja tu rist zote zipo box lipo tatoa earphone na chaja tu rangi gold, bei 220000 tu, napatikana DSM 0683666702 nicheck seriously buyer Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Wadau habari ya mchana, natafuta laptop, ofa yangu laki 2. Kama unayo na nzima basi nipm; aina yoyote na ukubwa wowote ilmradi tu iwe nzima. Hard disc iwe kuanzia 80 na ram angalau 2
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Baada ya kuitumia kwa muda machine ya EFD aina ya eXpert SX ya Bulgaria imeanza kugoma kutoa risiti yenye tarehe ya manunuzi,tumeirekebisha sana kwa dealer wetu lakin imeshindikana Sent using...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kusolve ishu ndogo ndogo za Technology na kupata fafanuzi za maswali uliyonayo tembelea blog yetu ya techedutanzania.blogspot.com blog hii itakua active na pale unapokua na swali lolote waweza...
0 Reactions
1 Replies
802 Views
hbr wadau kama thread inavyojieleza nauza simu aina samsung galaxy note edge bei tsh 250,000. haina tatizo lolote zaidi ya kuchubuka kioo tu.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Machine za EFD zinauzwaje wadau? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ninahitaji line ya Tigo-pesa, niko Tanga. Kwenye kuweza kunisaidia tuwasiliane!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza Samsung Galaxy s6 edge 32 gb 16mp Bei:550000 fixed price. Location: Dar es salaam.
0 Reactions
77 Replies
15K Views
Niambie kama umewahi kukutana na hali kama hii; Ndugu au rafiki yako wa karibu, ambaye mnaheshimiana sana na kushirikiana mambo mengi, anakupigia simu. Anakuambia kuna fursa nzuri sana ya...
2 Reactions
80 Replies
12K Views
Kiwanja kinauzwa Eneo:Moshi,eneo la shabaha Vipimo:20x20 Kupimwa:Bado Bei:5.5M (inazungumzika) Huduma:Maji yapo na umeme pia upo bt hujaunganishwa Contacts:0768050062
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu nauza simu nzima kabisa haina tatizo lolote kabisa ila ni kikorea Bei sh 80000 Mazungumzo yapo 0657 63 63 63
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Anayelijua duka zuri la vifaa vya computer lililopo Mwenge stand au mawasiliano stand, anielekeze nivipate hivyo vitu please. Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
548 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…