Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau, Tuna mashine mpya za water pump, Generator, na brush cutter zote kutoka kampuni ya Honda. kwa wale wadau ambao walikuwa wanazitafuta mali hizi basi nawaambia zimebaki chache stock na...
2 Reactions
111 Replies
36K Views
Habari, Nauza askirimu za ubuyu kwa moja moja na jumla kwa wale wasio na muda wa kutengeneza, bei nafuu utachagua wewe uuze bei gani. Ni tamu na laini pia zimetengenezwa kwenye mazingira masafi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, nahitaji shamba la kununua kuanzia hekari 2-5 au zaidi kama bei itakuwa nzuri. Napendelea hasa maeneo ya kuanzia Vikindu, Mkuranga, mpaka Kimanzichana, lakini kama nitapata maeneo mengine...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habarini! Mimi nina iphone 6 plus (6+) mpyaa kabisaa nimenunua Jana sijaanza kuitumia! Ila ni 16GB mimi nina Hitaji kufanya mabadilishano na mtu na Inapodi Pesa nitamuongeza Mabadirishano yawe...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
habarini ndugu zangu, siku chache zilizopita kuna mtu alitoa tangazo la kuuza line za tigo, m, na aitel money, please naomba ujitokeze, nahc cjaiona post yako. nina shida na wewe mpndwa by Tamalisa
0 Reactions
6 Replies
898 Views
Kixhwa cha habari tajwa hapo juu. Naombeni msaada namna ya kwenda kwenye pm ya mwingine. Ahsante Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Wapendwa muwazima wa afya msaada je naweza kupata bank statement yakuanzia million 19 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
85 Replies
14K Views
mizigo uko vizuri
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu msaada kama upo arusha na unajua sehemu inapouzwa Asali mbichi, nahitaji maana nasikia ni dawa ya nguvu za kiume, pia kama kuna dawa msaada wenu jamani ni miaka 4 sasa sijasex na NAHISI...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Wakuu, natafuta gari tajwa hapo juu, masharti yangu ni machache Tu, 1. Gari iwe katika hali nzuri. 2.Iwe namba C au D kabisa. 3. Iwe ya milango 5 4. Iwe Dar au mikoa ya karibu na Dar. Bajeti...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamani nauza miti,mwenye kuhitaji anitafute pm,aina ya miti ni mikaratusi bei maelewano tu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Husika na kichwa cha habari apo juuu mimi ni fundi mwenye uzoefu ktk kazi yangu,Na pauwa na kuskimu pia na funga gysum kwa urembo mzui namba napatikana Dar es salaam maeneo Ukonga...
0 Reactions
3 Replies
955 Views
Nauza pump ya maji ambayo nimeitumia mda mfupi. Sababu za kuuza ni kwamba generator yangu ni ndogo kuweza ku suport 1. 5hp Nipo chanika dar. Immersed pump 1. 5HP Made from Italy. Bei 280...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunakuletea offer kabambe kama ifuatavyo kwa Gharama ya ONLY TZS 30,000/= Unapata Website Hosting kwa mwaka mzima! Free .com domain name (.com) Offer ni ya mda mchache PACKAGE YA HOSTING INA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa yeyote anejua au aneweza kunipatia chumba kizuri kwa ajili ya kijana anaesoma IFM, kiwe maeneo salama na karibu na usafiri nitashukuru sana. Bajeti yangu kuanzia elfu 50 mpaka 70 kutegemea na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kama nilivyo omba hapo juu kama kuna mwenye samsung j2 anauza aje tuzungumze bei. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
893 Views
Nahitaji kuku wa mayai wanao taga au waliomaliza kutaga Nahitaji kama kuki 500 sasa hivi Bei n maelewano Kama upo Dar au Kibaha tutafutane Namba yangu ni 0656652250 au 0684666945
1 Reactions
2 Replies
808 Views
Natafuta msichana wa umri kati ya 20-35yrs ambaye Yuko vizuri sana kingereza na kihindi kwa ajili ya customer care. Anatakiwa awe ni understanding one na mwenye reasoning nzuri. Elimu angalau form...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa juu ya China Clothes standards zinaoana vp na Us/Uk/Eu clothes standards kwa mavazi ya kiume especially t-shirt..
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Tupo morogoro viwanja vya nanenane Tuna jumla na lejaleja Masiliano. 0785 575 540 0756 575 540. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…