Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,405
- 21,789
Wakuu, natafuta gari tajwa hapo juu, masharti yangu ni machache Tu,
1. Gari iwe katika hali nzuri.
2.Iwe namba C au D kabisa.
3. Iwe ya milango 5
4. Iwe Dar au mikoa ya karibu na Dar.
Bajeti yangu ni 8mil.
Kwa mawasiliano njoo PM. Kuweka namba JF sikuhizi ni risk Sana.
1. Gari iwe katika hali nzuri.
2.Iwe namba C au D kabisa.
3. Iwe ya milango 5
4. Iwe Dar au mikoa ya karibu na Dar.
Bajeti yangu ni 8mil.
Kwa mawasiliano njoo PM. Kuweka namba JF sikuhizi ni risk Sana.