Mrs S
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 286
- 90
Wapendwa muwazima wa afya msaada je naweza kupata bank statement yakuanzia million 19
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Bank statement ya milioni 19? Au unamaanisha ya miezi 19?Wapendwa muwazima wa afya msaada je naweza kupata bank statement yakuanzia million 19
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha ha, you made my dayBank statement ya milioni 19? Au unamaanisha ya miezi 19?



Yenye taarifa ya m 19 bank statementNadhani mkuu kwa mimi naona utata kidogo
1. Unataka kuilipia 19ml
2. Unataka yenye taarifa za ml.19
3.
4.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi ni tatizoHizi ID zilizo anzia mwezi May 2017 ni tatizo sana
weka swali vizuri lakini inawezekana kuna sehemu unatakiwa kuambatanisha na benki statement ambayo min inatakiwa kuwa na kiasi ambacho hakipungui 19m so hilo linawezekana ni kuweka hela tu kwenye acc yako unapata kwa kuwa benk statement ni taarifa ya kilichopo kwenye akaunti yako kwa siku utakazotaka mfano baadhi ya vyuo vya nje wanataka kuona benk statement yako na wameainisha kiasi fulani kwa ajili ya kuwa na uhakika wa wewe au mwihitaji atajiwezaWapendwa muwazima wa afya msaada je naweza kupata bank statement yakuanzia million 19
Sent using Jamii Forums mobile app
Bank statement yenye taarifa za m 19 ina maana kama una hiyo kias bank unaprint ile statement itakayoonyesha taarifa hizolimaanisha Bank statement ya kuanzia miezi 19
Sawa hongera kwa kuwa na ml 19
Safi sana Mama kwa kuwachanganya hawa wajuaji!![]()
Basi sawa, tufanye hakuna tatizo..

Yes hapo umenielewa kama unafahamiana na mtu ambae unajua atakua kias cha kuanzia hiyo ela kwenye account yake ananiprint statement hyoo kiongozwe
weka swali vizuri lakini inawezekana kuna sehemu unatakiwa kuambatanisha na benki statement ambayo min inatakiwa kuwa na kiasi ambacho hakipungui 19m so hilo linawezekana ni kuweka hela tu kwenye acc yako unapata kwa kuwa benk statement ni taarifa ya kilichopo kwenye akaunti yako kwa siku utakazotaka mfano baadhi ya vyuo vya nje wanataka kuona benk statement yako na wameainisha kiasi fulani kwa ajili ya kuwa na uhakika wa wewe au mwihitaji atajiweza