Msaada: Nahitaji shamba la kununua.

Msaada: Nahitaji shamba la kununua.

TheBuilder

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
237
Reaction score
212
Wadau, nahitaji shamba la kununua kuanzia hekari 2-5 au zaidi kama bei itakuwa nzuri.
Napendelea hasa maeneo ya kuanzia Vikindu, Mkuranga, mpaka Kimanzichana, lakini kama nitapata maeneo mengine tofauti na hayo niliyoyataja siyo mbaya tutaangalia uwezekano lakini target yangu ni hayo maeneo.

Mwisho:
Ningependa zaidi nifanye biashara na mwenye mali kuliko dalali.

Aksante sana kwa ushirikiano wenu Wadau.
 
Wekeni bei wazi hapa pm ni kichakani
 
Kama utahitaji Mlandizi, 8km from Morogoro Road basi cheki na huyu 0764 44 62 01
 
Kiwangwa hekari 3 kilomita 4 kutoka barabarani.
 
Back
Top Bottom