Kwani nafasi za kujiunga tayari zimetangazwa?Habari wa pendwa me nikijana nilie hitimu kidato cha nne katika sekondari ya jitegemee jkt sekondari mwaka juzi naombeni mwenye kuelewa ani saidie jinsi ya kupata nafasi na kuansika barua.
Hapo umemaanisha form four si ndio mkuu?Fourm four hajui kuandika barua duh..
Na mshahara mkuu usisahau na misifa ya kijingaKuna kijana anataka kwenda jeshini, jana nikamwambia unataka kwenda jeshini uko tayari kufa vita ikitokea? Strange akajibu Tanzani kuna amani hakuna vita. Nikamwambia Afghanistan wanahitaji wanajeshi nikuunganishe? Alikimbia sijamuona. Maana yake nini? Nakwenda jeshini kwa vile TZ hakuna vita...thinking ya vijana wetu
Sent using Jamii Forums mobile app