Njoo tufanye Mabadirishano ya IPHONE

Njoo tufanye Mabadirishano ya IPHONE

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,683
Habarini! Mimi nina iphone 6 plus (6+) mpyaa kabisaa nimenunua Jana sijaanza kuitumia! Ila ni 16GB mimi nina Hitaji kufanya mabadilishano na mtu na Inapodi Pesa nitamuongeza

Mabadirishano yawe hivi kati ya haya yote nitayakubari

1.ANIPE IPHONE 6 PLUS (6+) 64GB nakuendelea nitamuongeza pesa! Mimi nimpe IPHONE 6 PLUS (6+) 16GB

AU

2.ANIPE IPHONE 7 PLUS 64 GB nakuendelea MIMI NIMPE iphone 6 PLUS 16 GB na Pesa nitamuongeza

Chaguo moja kati ya hilo nitakubali kwa mtu aliepo SERIOUS ani PM au anicheck kwa namba hii

0654385118

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anahitaji yenye storage kubwa kwa nilivyomuelewa mimi
 
kama ni hivyo si angelinunua yenye storage kubwa hiyo jana?

Huwa inatokea mkuu, hata mimi ilikuwa nichukue iPhone [emoji336] 128GB lakini kutokana na visababu flani nikachukua 64GB ila nilipoanza kuitumia tu nikaona ni heri ningesubiri nipate ile ya 128GB Ila ndio nilishakosea
 
Huwa inatokea mkuu, hata mimi ilikuwa nichukue iPhone [emoji336] 128GB lakini kutokana na visababu flani nikachukua 64GB ila nilipoanza kuitumia tu nikaona ni heri ningesubiri nipate ile ya 128GB Ila ndio nilishakosea
Ni kwelii mkuuu mm nilimuagiza mtu aninunulie lakini iliongezeka hela kidogo kama 120 akashindwa kujiongeza akaja na hiyo sasa mm nataka yenye storage kubwa yaani kuanzia 64GB

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini! Mimi nina iphone 6 plus (6+) mpyaa kabisaa nimenunua Jana sijaanza kuitumia! Ila ni 16GB mimi nina Hitaji kufanya mabadilishano na mtu na Inapodi Pesa nitamuongeza

Mabadirishano yawe hivi kati ya haya yote nitayakubari

1.ANIPE IPHONE 6 PLUS (6+) 64GB nakuendelea nitamuongeza pesa! Mimi nimpe IPHONE 6 PLUS (6+) 16GB

AU

2.ANIPE IPHONE 7 PLUS 64 GB nakuendelea MIMI NIMPE iphone 6 PLUS 16 GB na Pesa nitamuongeza

Chaguo moja kati ya hilo nitakubali kwa mtu aliepo SERIOUS ani PM au anicheck kwa namba hii

0654385118

Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu usipate shida ni kujiungana na iclaud tu na detail zako zitabakia siku zote na ni salama zaidi hata ukibadilisha simu nyengine hazitapotea au simu kuibowa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom