Hii, nauza garlic paste, kitunguu swaumu kilichosindikwa na hutumika kama kitunguu kingine kwa ajili ya kupikia,massage, scrubbing, steaming nk
100% kitunguu swaumu
Jumla 3500 kuanzia PC 20...
Kwa wenye kuhitaji nyumba au chumba cha kupanga maeneo ya kimara basi hapa ndio mahala salama, njoo ukutane na watu wakuaminika upewe kinachokufaa.
Sema unahitaji nyumba yenye sifa gani, hapa...
Habari, nauza shamba langu heka 100 zipo nyamaronda kijiji cha mkola, heka zote nauza kwa shilling 30,000,000/= Hakuna punguzo. Shamba lilikuwa safi ila sasa majani yameota. Linafaa kwa kilimo...
Kutokana na Kabati yangu kukaa kwa muda mrefu kwa fundi mpk nilipoforce kukamilishwa Matokeo yake ilibeba mchwa ambao wamebungua mbao za juu zote. Hivyo kwa Heshima na taadhima mwenye kujua dawa...
Inatumia umeme wa majumbani (220 V), Ni rahisi kutumia na ina umbo dogo (portable). Bei ya ofa 1,399,000 badala ya 1,600,000 . Fika dukani THE BRIDGE , Dsm tabata segerea mwisho stendi ya...
Bei ya ofa ni 2, 100,000 tu badala ya bei ya kawaida ya 2,250,000. Ofa itaisha tar 20.08.2017. Mashine ni ya diesel, na inapukuchua Tani 1 kwa saa. Ina matairi madogo na ni rahisi kuhamishika...