Nyumba na vyumba vya kupanga kimara

Nyumba na vyumba vya kupanga kimara

Master of the game

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
5,858
Reaction score
2,700
Kwa wenye kuhitaji nyumba au chumba cha kupanga maeneo ya kimara basi hapa ndio mahala salama, njoo ukutane na watu wakuaminika upewe kinachokufaa.
Sema unahitaji nyumba yenye sifa gani, hapa nitaweka Basho.
1:Nyumba nzima ya vyumba 3,maji 24hrs, umeme luku yakujitegemea, jiko na choo. Ni mwendo wa dakika 6 tu kutoka stendi. Kodi ni 250000/=
FB_IMG_1484136178702.jpg
FB_IMG_1484136176494.jpg
FB_IMG_1484136160828.jpg
FB_IMG_1484136158624.jpg
FB_IMG_1484136153443.jpg
 
Kaka nahitaji nyumba ya familia yaani iwe na vyumba vitatu (self moja na vingine viwili), Public toilet, Jiko, Store, Sitting na Dinning. Umeme wa kujitegemea LUKU na maji yawepo (hata kama hakuna tank ntaweka la kwangu). Iwe kwenye fence na pia iwe na Parking.

Iwe katika hali nzuri kimuonekano (isiwe nyumba iliyochoka). Naihitaji kuanzia March 1. Ukiwa nayo please ni PM. Bei iwe 250,000/=.

Asante.
 
Kwa wenye kuhitaji nyumba au chumba cha kupanga maeneo ya kimara basi hapa ndio mahala salama, njoo ukutane na watu wakuaminika upewe kinachokufaa.
Sema unahitaji nyumba yenye sifa gani, hapa nitaweka Basho.
1:Nyumba nzima ya vyumba 3,maji 24hrs, umeme luku yakujitegemea, jiko na choo. Ni mwendo wa dakika 6 tu kutoka stendi. Kodi ni 250000/=View attachment 458196View attachment 458197View attachment 458198View attachment 458199View attachment 458200
Mm nina 200, 000 unaweza kupokea
 
Kaka nahitaji nyumba ya familia yaani iwe na vyumba vitatu (self moja na vingine viwili), Public toilet, Jiko, Store, Sitting na Dinning. Umeme wa kujitegemea LUKU na maji yawepo (hata kama hakuna tank ntaweka la kwangu). Iwe kwenye fence na pia iwe na Parking.

Iwe katika hali nzuri kimuonekano (isiwe nyumba iliyochoka). Naihitaji kuanzia March 1. Ukiwa nayo please ni PM. Bei iwe 250,000/=.

Asante.
Mkuu muda ukifika tutawasiliana, hifadhi namba yangu ikikaribia march tuanze mchakato
 
Chumba na sebule maeneo ya kimara
Ni umbali wa dakika kumi tu kutoka barabarani.
Chumba kimoja master.
Sebule kubwa pamoja na jiko safi.
Parking ipo yenye usalama wa hali ya juu.
Ni laki na hamsini tu kwa mwezi.
FB_IMG_1484396744617.jpg
FB_IMG_1484396749565.jpg
FB_IMG_1484396749565.jpg
FB_IMG_1484396754298.jpg
FB_IMG_1484396793231.jpg
 
Kipindi cha magufuri raha sana nyumba inakutakutafuta mwenyewe na unapanga bei mwenyewe kura bado jpm endelea kukaza kamba
 
Mkuu nitakutafuta nimeridhika na mazingira ya nyumba
 
Back
Top Bottom