DAWA YA MCHWA INATAFUTWA

DAWA YA MCHWA INATAFUTWA

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,318
Reaction score
845
Kutokana na Kabati yangu kukaa kwa muda mrefu kwa fundi mpk nilipoforce kukamilishwa Matokeo yake ilibeba mchwa ambao wamebungua mbao za juu zote. Hivyo kwa Heshima na taadhima mwenye kujua dawa ya kuua wadudu wabunguaji samani zilizotayari anisaidie kujua hiyo dawa, bei yake na inakopatikana PLZ[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom