IST inahitajika

IST inahitajika

shybubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2016
Posts
538
Reaction score
394
Gari IST inahitajika kuanzia namba B

Nipo Dar Es Salaam

Price ipo 5,000,000 top
 
nipm no yako nkuonyeshe picha za ist unayotakiwa kununua..
kama uko dar uje kuiona,,nipo kinondoni studio...mimi sio dalali ni mali yangu nataka kununua uwanja
 
nipm no yako nkuonyeshe picha za ist unayotakiwa kununua..
kama uko dar uje kuiona,,nipo kinondoni studio...mimi sio dalali ni mali yangu nataka kununua uwanja
Weka picha mkuu,
 
Gari IST inahitajika kuanzia namba B

Nipo Dar Es Salaam

Price ipo 5,000,000 top
Looks like you are new in this industry, next time you plan to buy a local registered car dont look at the registration numbers.
Angalia ubora wa engine na performance kwa ujumla. Kuna magari yana registration inaanza na D lakini ni takataka za 19xx au mapema 2000-4, kuna gari lina registration ya A lakini limetoka kiwandani 2006.
Watanzania wengi wana muelekeo huo lakini I think they are wrong.
 
Looks like you are new in this industry, next time you plan to buy a local registered car dont look at the registration numbers.
Angalia ubora wa engine na performance kwa ujumla. Kuna magari yana registration inaanza na D lakini ni takataka za 19xx au mapema 2000-4, kuna gari lina registration ya A lakini limetoka kiwandani 2006.
Watanzania wengi wana muelekeo huo lakini I think they are wrong.
Nadhani baada ya kupata hizo namba anazotaka, ndio ataangalia mengine
 
nipm no yako nkuonyeshe picha za ist unayotakiwa kununua..
kama uko dar uje kuiona,,nipo kinondoni studio...mimi sio dalali ni mali yangu nataka kununua uwanja
Pouwa Mkuu nakuchek soon
 
nipm no yako nkuonyeshe picha za ist unayotakiwa kununua..
kama uko dar uje kuiona,,nipo kinondoni studio...mimi sio dalali ni mali yangu nataka kununua uwanja
Kaka nishakupm nicheki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom