Kwa wale wapenzi wa uyoga au ambao wangependa kuujaribu, nauza uyoga fresh aina ya oyster mushroom.
Kilo 1, shilingi 10000
Nusu kilo, shilingi 5000
Nipo dar, na na-deliver anywhere in dar...
Kiwanja kinauzwa.
Mahali: Kimara Bonyokwa
Ukubwa: Nusu heka
Kimepimwa na kuwekewa mawe.
Huduma zote muhimu kama maji, umeme, usafiri, barabara zipo.
Kwa bei na maelezo zaidi wasiliana na namba...
Wanafunzi wote wanaomaliza Darasa la Saba mwaka 2017 wanakaribishwa kwenye programu ya Pre-Form One kwa miezi mitatu, itakayofanyika shuleni Bahari Beach High School kuanzia 11 Septemba 2017 mpaka...
Online bedsheet dealers....Karibu hapa upate shuka nzuri
7000-12000 kwa moja moja.
Foronya za mito aina zote,
Bei Inarange 2000-10000
Foronya za godoro
10000-2000
Na bedcover zenye mpira...
Kuna laptop aina ya samsung model pv510. Ipo katika hali nzuri yaani clean na kila kitu kinafanya kazi vizuri. Ina;
RAM 4GB
HDD 250GB
PROCESSOR NI 2.3GHZ DUO CORE
INAKAA NA CHARGE
SCREEN SIZE...
For Sale...
Fuso mayai, long body na crane..
Engine, gear box, dif, safi kabisa...
Inahitaji tairi 6 zilizopo zimechoka na rim mbili, crane inahitaji matengenezo ya kuweka crane wire mpya na...
This is opportunity! Came and join. Ambaye yuko interested aseme na atoe namba ya simu au ni Pm nimetoa wazo na nitacoordinate . Cha kukumbuka ni mawazo yenu yanatakiwa tu make it happens.
Wazo...
If you would like to summarize your data for easy understanding like this one please let me know. Linking formula, graphs, analysis etc
Contact us +255755325442
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu, kwa wapenzi wa ubuyu na wajasiriamali.. Nauza ubuyu kutoka Zanzibar kwa elfu 33 tu ndoo ndogo ya lita 10,ubuyu Mtamu.. Na napokea oda kwa idadi unayoitaka.. Ubuyu unapikwa...
Magari yafatayo yako sokoni hapa na weka picha moja moja na bei kwa maelezo zaidi juu ya (millage,model,cc,colour,Transmission)
Nenda hapa kwenye Blog yetu mpya MAGARI au piga...
Nauza vifaa tajwa hapo juu kwa bei ya kutupa kabisa
Vifaa vya saluni
Vito viwili kila kimoja 45000/=
Vioo viwili kila kimoja 45000/=
Mashine mbili bado mpya zina miezi mitatu tu kila moja 50000/=...
Wakuu habari za jioni, Shukrani zangu za dhati zimuendee mwenyenzi Mungu kwa kutupa uhai mpaka sasa na waandika uzi ya kujing'amua kiuchumi kupitia ujasiriamali.
Bila kupoteza muda, ningependa...
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 5 kutoka Million 8...