cheguevara JF-Expert Member Joined Apr 30, 2012 Posts 1,348 Reaction score 653 Sep 3, 2017 #1 Habari wadau nahitaji kununua biashara ya drycleaner maeneo ya sumbawanga na katavi iwe ya kawaida sana kwa lengo la kuiboresha zaidi kuwa ya kisasa
Habari wadau nahitaji kununua biashara ya drycleaner maeneo ya sumbawanga na katavi iwe ya kawaida sana kwa lengo la kuiboresha zaidi kuwa ya kisasa
specialist88 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2014 Posts 1,140 Reaction score 619 Sep 3, 2017 #2 Mkuu kwa sumbawanga na Katavi hutafanikiwa....watu wagumu sana huko...napajua Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa sumbawanga na Katavi hutafanikiwa....watu wagumu sana huko...napajua Sent using Jamii Forums mobile app
cheguevara JF-Expert Member Joined Apr 30, 2012 Posts 1,348 Reaction score 653 Sep 4, 2017 Thread starter #3 Ok nimekupata,biashara gani itafaa