Je una chumba cha kupangisha ?

Je una chumba cha kupangisha ?

lunatoc

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
2,908
Reaction score
5,507
Habari wakuu Natafuta Chumba kimoja kiwe self-contained maeneo ya Mbezi Beach, Sinza au Makongo Juu...


Nyumba iwe ndani ya Fensi, Isiwe na wapangaji wengi kuepuka kupigizana kelele.

Bajeti: 100,000


Kama una chumba Nicheki PM



Sent From My Nokia Ya Tochi


Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Back
Top Bottom