Pikipiki inauzwa!!!

Pikipiki inauzwa!!!

inyele

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
1,661
Reaction score
1,303
Habari wanajamvi..pikipiki aina ya TOYO Cc125 inauzwa! Ina mwaka mmoja barabarani ina document zote..kwa anayehitaji iko musoma mjini tuwasiliane 0768424274/0782277999

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka bei ww

Will yo future thank u 4 tha sht u'r duin 2day?
 
Okay kumbe INA mwaka mmoja barabarani ina docs zote IPO musoma na 0768424274 ndio namba yako .... Okay .. Bei na picha haina haja ... ...

GARI BOVU HUVUTWA NA ZIMA
 
Picha ndio kitu muhimu hujaweka

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
weka picha au ni ya aina kama hii!!?
49a5e8bd36ed06b1591bbe1bea7ccaf7.jpg


Ngw'ana Kabula
 
Picha

''Aut Vincere Aut Mori''
Sorry wakuu kwa kupotea nlisafiri kidogo hivyo kwa bahati mbaya nkawa sina picha yake.pia simu yangu ikawa inazingua kuchaji.kesho ntaweka picha ;
NB: sio lazima kuchangia mada kama hauko-interested
Weka bei ww

Will yo future thank u 4 tha sht u'r duin 2day?

picha ya bidhaa
Na bei yake mkuu kama hutojali.

Pole kwa kutembelew na ukata mkuu. Kila lakheri

Picha ndio kitu muhimu hujaweka

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi..pikipiki aina ya TOYO Cc125 inauzwa! Ina mwaka mmoja barabarani ina document zote..kwa anayehitaji iko musoma mjini tuwasiliane 0768424274/0782277999

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuweka namba yako wazi hivi,usije kulaumu mods kua wamewapa watu wasiojulikana mawasiliano yako.

Kaa na utambue kua kuanzia sasa unaanza kua monitored na vijana pale Lumumba na wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom