Nahitaji kufungua kiwanda kidogo (home factory) cha kuzalisha Mikoba ya kina mama handbags za kisasa sawa na zile zinazotoka China. Tena zangu zina ubora zaidi. Mimi ni designer wa hizo bidhaa. Kilicho nikwamisha sasa ni mtaji hivyo natafuta mtu wa kushirikiana nae Mimi nitatoa ujuzi pamoja na kusimamia uzalisha. Yeye atoe mtaji. Kiwango cha chini cha mtaji ni 1.5ml. Maelezo zaidi wasiliana nami WhatsApp or call 0622123480 Niko dar es salaam. Soko na faida ni ya uwakika