Habari wakuu Natafuta Chuma kimoja kiwe self-contained maeneo ya Mbezi Beach, Sinza au Makongo Juu...
Nyumba iwe ndani ya Fensi, Isiwe na wapangaji wengi kuepuka kupigizana kelele.
Bajeti...
Wakuu,...Nakaribisha maombi ya wadau wanaoomba kuandikiwa bank proposals, project proposals, business plans, business ideas na ushauri wa kibiashara katika sekta za elimu, jamii, kilimo, afya...
Habari za saizi wapendwa, Mimi ni mtanzania mwenzenu niliyebahatika kukua katika FAMILIA ya kiufugaji,(KUKU WA KIENYEJI).
Tuna kampuni yetu iitwayo SHITINDI POUTRY FARM AND HATCHER.
Hii kampuni...
Nataka za sample hizi zenye mic n k
Nikienda maduka mengi nakuta ambazo hazina mic
Kama hizi nitazipata wapi hapa bongo
na bei gani hizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hey kama unashamba maeneo hayo hapo juuo linalo uzwa bei ya 250,000/= nakuendelea mpaka 500,000/= Kwa Hekari ni PM tuyamalize.
Sent using Jamii Forums mobile app
*KITABU CHA MASUALA YA GREENHOUSE SASA KINAPATIKANA*
Habari wajasirimali wote na wanajihusiha na kilimo cha kisasa na wanaowiwa kujihusisha na kilimo cha kisasa hasa Greenhouse/Nethouse , sasa...
Poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi ni mjasiliamali mchanga sana narudia tena mjasiliamali mchanga sana, nahitaji vifungashio vya Mchele kuazia kilo moja, mbili, tano, na kumi kwa...
Make : Toyota
Model : Coaster
Mileage : 317,503km
Engine size: 4,160cc
Gasoline : Diesel
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
M/Year : 2000
Doors : 2
Seats : 29...
Nahitaji kufungua kiwanda kidogo (home factory) cha kuzalisha Mikoba ya kina mama handbags za kisasa sawa na zile zinazotoka China. Tena zangu zina ubora zaidi. Mimi ni designer wa hizo bidhaa...
Fursa kwa wale logo makers, Nahitaji logo yenye components zifuatazo.
Iwe na circle ya Dunia ( world Map ), not detailed
Iwe na ramani / map ya Afrika ( not detailed )
Iwe na sarafu ya fedha...
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote
kuwa review class ya CISA
(Certified Information Systems Auditor) kwa ajili ya kuwapa
ujuzi wanafunzi utaalamu wa jinsi ya kukagua mifumo ya...
Kuna vyumba vinapangishwa Dodoma mjini, self contained, woodern syling board, no tiles but nice floor, water available in doors 24hrs, electricity (10,000/= kwa mwezi), bei 80,000/= kwa mwezi...
Lipo maeneo ya Ukonga kipunguni moshi bar. Ni hivi ilikuwa ni nyumba kubwa lkn mwenyewe watu aliowaachia wantuzie hiyo nyumba upande mmoja wa nyumba walikuwa wamechimba mchanga nyumba ikabomoka...