Kwa bajeti hiyo na vigezo vyako,labda utapata kwa Mrombo,otherwise uwe una share na mtu hiyo nyumba!Za leo Wandugu
Poleni na kukosa hela za bia weekend nzima mkaula wa chuya.Natafuta nyumba yenye vigezo hivi
1.vyumba viwili vya kulala
2.Jiko
3.Sebule
4.Maliwato
5.Iwe karibu na Barabara
6.Isiwe mbali na mji
7 Budget laki mbili(200,000)
Una hela ya udalali ya mwezi mmoja,nimpe mtu kazi?mwisho laki 2 na nusu
Kuna wengine wanapenda bure! Lini upo tayari kuona nyumba? Ikiwezekana nipe number yako PM.si ndiyo sheria mkuu?
Nyumba zipo Sakina kwa Idd,moja unahitaji laki tatu na nyingine laki tatu na nusu.Nimezingatia vigezo vyako.DALALI hana simu yenye camera,kwa hiyo hadi uende kuona mwenyewe if interested!sitaki bure nakupm namba unitumie picha,uniambie na mtaa ilipo nyumba
Arusha nyumba zipo nyiingi sana, tena nzr saaaana na maeneo mazuri... Zipo nyumba Moshono, zipo nyumba Njiro.... Lakini 2.5 hutopata nyumba nzr za ukubwa huo ulousema wewe.. Nyumba utapata, lakini sio nzr.... Ipo ya Choo cha nje mwanama, kwa bei hiyo...sina haraka ili nipate kizuri
vyumba viwiliArusha nyumba zipo nyiingi sana, tena nzr saaaana na maeneo mazuri... Zipo nyumba Moshono, zipo nyumba Njiro.... Lakini 2.5 hutopata nyumba nzr za ukubwa huo ulousema wewe.. Nyumba utapata, lakini sio nzr.... Ipo ya Choo cha nje mwanama, kwa bei hiyo...
Yap,vyumba viwili
Haina dalali hiyo,...vyumba viwili
Arusha sehemu gani Mkuu ?Za leo Wandugu
Poleni na kukosa hela za bia weekend nzima mkaula wa chuya.Natafuta nyumba yenye vigezo hivi
1.vyumba viwili vya kulala
2.Jiko
3.Sebule
4.Maliwato
5.Iwe karibu na Barabara
6.Isiwe mbali na mji
7 Budget laki mbili(200,000)
Usa river utakaa ?nahitaji ya choo cha ndani
Poapoahapana mkuu