tongs
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 539
- 942
Umuofia kwenu kama thread inavosema, nakama picha zinavoonekana, nyumba tatu ndani ya kiwanja kimoja zinauzwa uyole Mbeya.
Nyumba moja ishafika juu, zingine ziko nusu nyumba zote tatu zimezungushiwa Fensi moja ya matofali (three in one)
Ambaye yuko interested anaweza kunichek.
Thanks
Nyumba moja ishafika juu, zingine ziko nusu nyumba zote tatu zimezungushiwa Fensi moja ya matofali (three in one)
Ambaye yuko interested anaweza kunichek.
Thanks