Moderm Ya Vodacom/Airtell Inahitajika

Moderm Ya Vodacom/Airtell Inahitajika

Djresha

Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
20
Reaction score
1
Kwa yeyote mwenye moderm kati ya hizo tuwasiliane please. bei maelewano nipo dar nipm kama unayo. tufanye biashara
 
Si uende kwenye maduka ya kampuni husika? Au tatizo bajeti ndogo? Ww una sh ngapi nikupe ya voda?
 
Brand new modem ya 4G(inafanya kazi na mitandao yote) bei elfu 50 tu. Nicheck 0783962460
 
Mkuu una uhakika hiyo model inakamata band zote za 4G za mitandao ya Tanzania? If yes basi nitakutafuta ndugu.
Ndio nna uhakika; Tanzania bands za 4g ni hzi; 800-Zantel&Tigo,1800-TTCL na Vodacom. Modem yangu ina bands zote hizo; infact nimeshaijaribu kwenye mitandao hiyo yote inapiga kazi vizuri
 
Angalia hapa
 

Attachments

  • Capture4g.JPG
    Capture4g.JPG
    17.6 KB · Views: 30
Back
Top Bottom