Tangazo nyumba inauzwa

Tangazo nyumba inauzwa

Junior Lecturer

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
913
Reaction score
585
Maji yapo, umeme imeshalipiwa,bado kuingiza tu.
Nyumba IPO katika finishingi,wiring ya maji na umeme tayr,inafens na parking ndogo.
Vyumba vitatu vya kulala,stoo,,jiko,dining,longe, vyoo public, na master berd room.
Nyumbainapatikana jijini mwanza ,mtaa wa kishiri mchangani,nauli shilingi mianne toka mjini mwanza,.eneo limepimwa na nihali kwa makazi ya watu,.BEI NI SHILINGI MILIONI HAMSINI NA LAKI SITA ZA KITANZANIA. MAONGEZI YAPO.
0765919620AU
0676848323..KWA MAWASILIANO ZAIDI.
IMG-20170929-WA0040.jpg
IMG-20170929-WA0039.jpg
IMG-20170929-WA0040.jpg
IMG-20170929-WA0031.jpg
IMG-20170929-WA0019.jpg
IMG-20170929-WA0026.jpg
IMG-20170929-WA0014.jpg
IMG-20170929-WA0029.jpg
IMG-20170929-WA0016.jpg
IMG-20170929-WA0026.jpg
IMG-20170929-WA0025.jpg
IMG-20170929-WA0031.jpg
 
kwa ajili ya wateja wote kukuelewa.. boresha tangazo lako.

kuhusu vipimo weka kwa square metres.. acha mambo ya kombolela..

na useme kama ni low density plot au high density.. na hati ukiwezekana iweke hata number..

watu watakuja tu


Sehemu ya kiwanja inayo Baki inaenea nyumba ya vyumba vitatu vya nje, parking,,na sehemu ya kucheza komborela madogo
 
kwa ajili ya wateja wote kukuelewa.. boresha tangazo lako.

kuhusu vipimo weka kwa square metres.. acha mambo ya kombolela..

na useme kama ni low density plot au high density.. na hati ukiwezekana iweke hata number..

watu watakuja tu
Mawasiliano hayo hapo.
Sikilamtu hapa jf ni msanifu wa matangazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom