Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau wa jf natafuta soko la kuuzia ukwaju. Kwa anayefahamu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi wanaJF... Nahitaji simu janja (Smartphone) iwe mpya, refurbished au imetumika na ipo katika hali nzuri, aina ya simu ninayo hitaji ni kati ya hizi zifuatazo Sony Xperia Z3+ Z5...
0 Reactions
2 Replies
661 Views
Ni maduka ya kimataifa. Hata Tanzania yanaweza kuanzishwa. Ni maduka yasiyofungwa iwe mchana iwe usiku, iwe jumapili iwe sikukuu. Yako wazi 24/7 Yanaitwa Seven Eleven kwa sababu mwanzoni maduka...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
jinsi ya kufanya unanunua nailoni gumu yapo kariakoo unaliweka kwa kulichimbia au kulitafutia uzio kama mawe au matofali pembeni kisha unajaza matope au maji kisha unaweka kambale wako amabao...
3 Reactions
121 Replies
30K Views
Habari zenu wanajamvi...!!!Ninauza maharage ya njano mapya ya kutoka karagwe kwa jumla kwa sh 1600 tu kwa kilo moja. Napatikana jijini mwanza na kwa wateja wote waliopo mwanza mjini na kwenye...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Laptop Repear ANY BRAND! ANY PRONLEM! -TUNAREKEBISHA LAPTOP AINA ZOTE NA KWA MATATIZO YOYOTE -TUNAPIGA WINDOW AINA ZOTE (WINDOW VISTA/7/8/8.1/10) -TUNAWEKA GAME ZOTE -TUNAWEKA PROGRAM ZOTE ZA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari . Ninatafuta gari aina ya toyota vitza ama toyota duet bajeti yangu ni milioni 4,maongezi yapo kama gari ikinivutia. Kwa mwenye gari nipm ama weka contact ntakupigia
1 Reactions
14 Replies
4K Views
habari wakuu ningependa jua sehem wanapopatikana mafundi wazuri wa fridges na contacts if possible nina friji lina hitilafu location nipo tabata barakuda
0 Reactions
5 Replies
3K Views
dish na kingamuzi startimes elf 70 vyote 0757896429 au 0715831272
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni Chuo kilichopo Dar es Salaam Tanzania Kiko registered na NACTE Kimeanza mwaka jana na kina mazingira mazuri ,vifaa vizuri na vya kisasa, maji ,umeme, na walimu wa kutosha wa kuhudumia...
0 Reactions
34 Replies
14K Views
Kichwa cha habari hapo juu kinakuhusu. Serious buyer njoo PM Bei 1.2m fixed
0 Reactions
3 Replies
994 Views
Habar zenyuuuu wadau shida nijuwe mkowa unaotengeneza mofuko ya viroba?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF, Habari ya leo. Kwa wale mnaomiliki magari ya ulaya haswa ya kijerumani mnaelewa ugumu wa kupata spair Tanzania. Nimeamua kuwaondolea adha hii kwa kuanzisha huduma maalumu ya manunuzi ya...
2 Reactions
5 Replies
893 Views
Wanaweek 7 niwakubwa na wamemaliza chanjo Wanapatikana Dar es salaam Wasiliana nami 0625588676 Bei ni 70000tsh
0 Reactions
1 Replies
741 Views
htt://casheast.Com//? id=202193
0 Reactions
4 Replies
730 Views
Inatumia laini zote System supported Window2000/2003/XP/Vista/7/8 mac,linux,Android... Tsh 25,000 tu 0758728258
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KAMA KUNA MTU ANAHITAJI ASALI MBICHI INAPATIKANA SINGIDA MANYONI ZIPO DUMU 40 ZA LITRE 20
1 Reactions
1 Replies
722 Views
Korosho kilo ni bei gani?
0 Reactions
6 Replies
741 Views
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je umekwama na unataka Msaada wa fedha Kwa haraka? Je unataka kukopa fedha Kwa riba ndogo? Je unataka kupanua Biashara yako ndogo na huna mtaji? Basi sasa umepata jibu la maswali yako hayo...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…