May five
Member
- Jun 16, 2017
- 20
- 8
Habari zenu wanajamvi...!!!Ninauza maharage ya njano mapya ya kutoka karagwe kwa jumla kwa sh 1600 tu kwa kilo moja.
Napatikana jijini mwanza na kwa wateja wote waliopo mwanza mjini na kwenye vitongoji vyake wataletewa mpaka mlangoni kwao na kwa wale wateja mliopo mikoani ninatuma pia...!!!
Kwa yoyote atakayehitaji ani pm tufanye biashara mzigo ninao tani za kutosha tu.
Karibuni sana.
Nawasilisha.
Napatikana jijini mwanza na kwa wateja wote waliopo mwanza mjini na kwenye vitongoji vyake wataletewa mpaka mlangoni kwao na kwa wale wateja mliopo mikoani ninatuma pia...!!!
Kwa yoyote atakayehitaji ani pm tufanye biashara mzigo ninao tani za kutosha tu.
Karibuni sana.
Nawasilisha.