Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 2,926
- 7,717
Ni Chuo kilichopo Dar es Salaam Tanzania
Kiko registered na NACTE
Kimeanza mwaka jana na kina mazingira mazuri ,vifaa vizuri na vya kisasa, maji ,umeme, na walimu wa kutosha wa kuhudumia wanafuzi wote waliopo chuoni kuhakikisha wanapata elimu nzuri na sahihi ,kwa ajili ya kuhudumia Wa Tanzania wote ,kwa kupitia Sekta ya Afya.
Mazingira na majengo yanaonekana vizuri hapa chini
Kiko registered na NACTE
Kimeanza mwaka jana na kina mazingira mazuri ,vifaa vizuri na vya kisasa, maji ,umeme, na walimu wa kutosha wa kuhudumia wanafuzi wote waliopo chuoni kuhakikisha wanapata elimu nzuri na sahihi ,kwa ajili ya kuhudumia Wa Tanzania wote ,kwa kupitia Sekta ya Afya.
Mazingira na majengo yanaonekana vizuri hapa chini