Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habar wanajamii! Nimefungua kampuni yangu ya Fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwa wenye Changamoto ya wadudu kama Mende, kunguni, mchwa, sisimizi, Panya n.k katika maeneo ya Mahotel...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Nyumba inauzwa Mahali:gongo la mboto Karibu na stendi ya daladala Kwa mawasiliano zaidi:0656180377 au 0657522935
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta kazi ya kuuza duka,super market na vinginevyo ninaweza kuongea kiswahili na kingereza vizuri ni muaminifu sana nitafute kupitia email prettykimaro@yahoo.com
2 Reactions
2 Replies
911 Views
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,, Sumsung tv inch 24. Bei yake ni 300,000 Tsh. Fridge aina ya MENGCHI bei yake ni 220,000 Tsh. Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing...
0 Reactions
105 Replies
18K Views
Natumaini ni wazima humu. Jamani hali ngumu hasa kwa tuliopata kazi hivi karibuni na kuanza maisha, uwezo wa kununua vitu kwa pamoja ni changamoto, utakuta unahitaji kitanda, meza, jiko, fridge...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
-Vyumba viwili self ( yaani sebule, chumba, choo na bafu..choo na bafu vipo chumbani).. -Vipo kigamboni- vijibweni, vipo karibu na kituo cha mabasi mwembeni barabara ya darajani kama dakika 2 tu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mbwa Wanauzwa Wadogo Bei sawa na Bure... Tsh 350000/= Mawasiliano 0652952018
1 Reactions
8 Replies
4K Views
nahitaji malori semi trailer tipper kma ishirini 20 kuna clinker IPO tanga inatakiwa ije dar mwenye nayo ani pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
965 Views
SOMA HAPO UJIPATIE ZABIBU SAFI KWA MASWALI ZAIDI KUNA CONTACT HAPO CHINI IWE WHATS APP/SIMU YA KAWAIDA UTATUPATA
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji fridge dogo nina laki moja naweza kupata wapi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Intel Core i5 Ram 8Gb Hdd 500Gb Webcam,Dvd Writer,Wifi Fingerprint Sensor Condition:used Call now/Whatsapp:0672669258
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tembelea link hiyo hapo chini kuona kazi zetu hapa Autoguru Garage 0688767668 or 0715967107 AUTOGURU GARAGE GALLERY | Facebook
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Wakuu nahitaji jiko Dogo la gesi la kampuni ya Oryx Nipo mwanza mwenye nalo aje PM tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari JF, Natafuta kazi yoyote,nipo Mwanza. Am just a fresh graduant.
1 Reactions
3 Replies
736 Views
Mimi nina biashara yangu ya asali mbichi kutoka tabora kwa yeyote mwenye uhitaji anitafute kupitia hii namba 0654553163 napatikana dar es salaam nauza kwa lita na jumla bei rahisi tu wasiliane.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutana na wauzaji pamoja na mafundi mahili wa kuweka tiles, marbles/granites.Ofisi zetu zina patikana Kinyerezi.Njoo upate ushauri pamoja na huduma kutoka Modesign Finishing Company. Mawasiliano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari! Napenda kutoa fursa kwa yeyote ambaye ataweza kusupply mayai tray 150 kwa wiki. Mazingatio ni kama ifuatavyo 1. Mayai yawe safi pia bila kupasuka. 2. Aweze kuyapack kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jipatie earphone za kisasa kwa bei chee Ni shilingi elfu 8 tu Zina mziki mzuri na pia zina mic Na zina waya ngumu sio rahis kukatika [emoji115] [emoji115] [emoji115] Nyingine hizi hapa Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu, kanisa limeanzishwa, waumini wamejichanga na mimi nimekabidhiwa fedha kwa ajili ya kununua Kinanda nauliza bei ya Kinanda 450 na 770 au zaidi tukikubaliana tufanye biashara.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom