Habar wanajamii!
Nimefungua kampuni yangu ya Fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwa wenye Changamoto ya wadudu kama
Mende, kunguni, mchwa, sisimizi, Panya n.k katika maeneo ya
Mahotel...
Natafuta kazi ya kuuza duka,super market na vinginevyo ninaweza kuongea kiswahili na kingereza vizuri ni muaminifu sana nitafute kupitia email prettykimaro@yahoo.com
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,,
Sumsung tv inch 24.
Bei yake ni 300,000 Tsh.
Fridge aina ya MENGCHI
bei yake ni 220,000 Tsh.
Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing...
Natumaini ni wazima humu.
Jamani hali ngumu hasa kwa tuliopata kazi hivi karibuni na kuanza maisha, uwezo wa kununua vitu kwa pamoja ni changamoto, utakuta unahitaji kitanda, meza, jiko, fridge...
-Vyumba viwili self ( yaani sebule, chumba, choo na bafu..choo na bafu vipo chumbani)..
-Vipo kigamboni- vijibweni, vipo karibu na kituo cha mabasi mwembeni barabara ya darajani kama dakika 2 tu...
Habari zenu wana jf. Naombeni msaada kwa yeyote anaejua ambako naweza kupata asali mbichi original. nipo mbeya. Nimekua nikitumia za supermarket lakini hazizai matunda.
Mimi nina biashara yangu ya asali mbichi kutoka tabora kwa yeyote mwenye uhitaji anitafute kupitia hii namba 0654553163 napatikana dar es salaam nauza kwa lita na jumla bei rahisi tu wasiliane.
Kutana na wauzaji pamoja na mafundi mahili wa kuweka tiles, marbles/granites.Ofisi zetu zina patikana Kinyerezi.Njoo upate ushauri pamoja na huduma kutoka Modesign Finishing Company.
Mawasiliano...
Habari!
Napenda kutoa fursa kwa yeyote ambaye ataweza kusupply mayai tray 150 kwa wiki.
Mazingatio ni kama ifuatavyo
1. Mayai yawe safi pia bila kupasuka.
2. Aweze kuyapack kwa ajili ya...
Jipatie earphone za kisasa kwa bei chee
Ni shilingi elfu 8 tu
Zina mziki mzuri na pia zina mic
Na zina waya ngumu sio rahis kukatika [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Nyingine hizi hapa
Kwa...
Ndugu zangu, kanisa limeanzishwa, waumini wamejichanga na mimi nimekabidhiwa fedha kwa ajili ya kununua Kinanda nauliza bei ya Kinanda 450 na 770 au zaidi tukikubaliana tufanye biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.