and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,160
- 39,567
Ofa Ofa punguzo la 50% kwa kila jeneza utakalonunua kwetu. Bonus tutakupa na sanda 3. Tupigie simu 0757344936. Karibuni Nyote.
Wachangiaji wa ili bandiko lako siwaoni[emoji12]Ofa Ofa punguzo la 50% kwa kila jeneza utakalonunua kwetu. Bonus tutakupa na sanda 3. Tupigie simu 0757344936. Karibuni Nyote.
Tunatafuta wateja si Wachangiaji kwani sisi tumekuwa Chagadema?Wachangiaji wa ili bandiko lako siwaoni[emoji12]
mshana jr atakuja tu, hiyo biashara imenikumbusha Zimbabwe, kuna paster mmoja alisema kila mwenye biashara ambayo inayumba basi atoke mbele ili aombewe biashara yake iende vizuri, muuza majeneza akawa wa kwanza kusimama na kusema biashasharq zake zinayumba, waumini waliwaacha wawili tu, paster na muuza majenezaWachangiaji wa ili bandiko lako siwaoni![]()
Mamako, hapa chadema imetoka wapi, kauzie familia yako yoteTunatafuta wateja si Wachangiaji kwani sisi tumekuwa Chagadema?
Hats Mimi ninghetokamshana jr atakuja tu, hiyo biashara imenikumbusha Zimbabwe, kuna paster mmoja alisema kila mwenye biashara ambayo inayumba basi atoke mbele ili aombewe biashara yake iende vizuri, muuza majeneza akawa wa kwanza kusimama na kusema biashasharq zake zinayumba, waumini waliwaacha wawili tu, paster na muuza majeneza