Hivi kifurushi cha chini kabisa cha DSTV ni sh ngapi?

Hivi kifurushi cha chini kabisa cha DSTV ni sh ngapi?

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
26,802
Reaction score
38,844
Nawaza sana, startimes ni elfu 78 pamoja na antena, dstv inauzwa 79.

Sasa tatizo kwenye malipo ya vifurushi.

......
 
kipo cha dstv bomba buku 19/month, kama ulaya baba ila movie kwa mbalii
 
Unaona mpira wa ulaya au ndio mamovie tu
Ukitaka yote haya unalipia kile cha premium chenye channel 130+ kwa shilingi 184,000 tu kwa mwezi huko ndio mpango mzima...kwenye hicho cha 19975 channel za michezo ni 5 kama sijakosea ambazo hazina uhondo kiviile
 
Back
Top Bottom