Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini. Zinahitajika gari mbili za aina Toyota au Suzuki ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea ziwe na CC kuanzia 1000 - 2000. bei yake Isizidi Mil 7. kama kuna mtu atakuwa nayo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
SITTA ELECTRONICS DAR ES SALAAM TZ 0766 10 27 10. - Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk -...
1 Reactions
3 Replies
914 Views
Nyumba mpya ya kisasa yenye pande mbili ambapo kila upande una vyumba viwili, kimoja self, sebule, jiko, public toilet. Pia kuhusu umeme na maji ni kwamba kila upande una mita yake. Mwenye...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari Wana JF. Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika. Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv...
0 Reactions
4 Replies
711 Views
habari wdau.. nauza laptop yangu ndogo asus eepc .. bado ipo kwenye ubora haina tatizo lolote nimetumia mwaka mmoja.. sababu ya kuuza nahitaji laptop yenye screen kubwa na processor kubwa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
English service mass will be held on this Saturday of 7th May at Mwenge, opposite KKKT. Njoo ufunguliwe kutoka kwenye vifungo vyako vya kiafya, uchumi na elimu. Come one Come all. Maneno ya...
5 Reactions
106 Replies
7K Views
Offer ! Offer !offer ZANZIBAR GENERAL SUPPLY wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo! Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs #specifications .HDMI...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Kiwanja chenye nyumba ya vyumba viwili (ina mpangaji) inauzwa Ina eneo lenye ukubwa wa metre 40 kwa 30 /zaidi ya robo heka Kipo metre 200 kutoka katikati ya barabara ya lami ya Moshi Dar road...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii forum, natafuta vifaranga vya kuku aina ya broilers kwa uharaka mwenye navyo anipigie 0719 252523
0 Reactions
3 Replies
959 Views
Nyumba ipo Chanika Buyuni Ina vyumba vitatu master moja yenye jakuza Vyumba vyote ni self container Stoo Choo kimoja public Dyning kubwa Sebure kubwa Get na parking ya gar Kwa mawasiliano zaid...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa habari na matukio tembelea :- Elimika Habari
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wana JF. Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika. Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv...
0 Reactions
1 Replies
671 Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha ardhi. Natafuta chumba maeneo ya sinza mitaa ya tcu au hata kivulini, catalunya au lufungila.. Kiwe cha tiles na kikubwa Bajeti yangu 100k Hata kama nyumba maeneo...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
Habari zenu wadau[emoji112] Kwa anaehitaji kuwekewa window aina yeyote kwenye computer, kuanzia window za mac mpaka microsoft pamoja na program za office na mambo mengine mengi anaweza nitafuta...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
HP PROBOOK 450 CORE i3(6th generation) ~PROCESSOR : Core i3 2.3 GHz ~RAM4GB,HDD:500GB,HDMI,VGA,4USB,WebCamera,Fingerprint. ~BATTERY: 5hrs + Adapter ~Best Laptop for you ~Free delivery ~Price...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
size 13 inch processor 2.50GHZ_i5 ram 2gb hdd 320 web camera using simcard bei 480,000 0782179882
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Ni mafundi mahili katika sekta ya kufanya finishing za nyumba ikiwa ni pamoja na Kuweka Tiles, Marbles/Granites,tangastone,kupaka rangi, kuweka gypsum nk, njoo tukupe ushauri pamoja na huduma...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ninawatafuta wale jamaa wanaowatafutia watu vyuo au shule nje ya nchi nataka UINGEREZA UK, ambao wao hulipa kila kitu kisha muhusika anawalipa kwa awamu au kidogo kidogo msaada wa mawasiliano yao...
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Nahitaji mitungi tupu ya gas kwa shs 30,000 kwa mtungi mmoja. Aliyenayo nitafute. 0784200767
0 Reactions
3 Replies
721 Views
Back
Top Bottom