Habarini. Zinahitajika gari mbili za aina Toyota au Suzuki ambazo zimetengenezwa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea ziwe na CC kuanzia 1000 - 2000. bei yake Isizidi Mil 7. kama kuna mtu atakuwa nayo...
SITTA ELECTRONICS DAR ES SALAAM TZ 0766 10 27 10.
- Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk
-...
Nyumba mpya ya kisasa yenye pande mbili ambapo kila upande una vyumba viwili, kimoja self, sebule, jiko, public toilet. Pia kuhusu umeme na maji ni kwamba kila upande una mita yake.
Mwenye...
Habari Wana JF.
Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika.
Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv...
habari wdau..
nauza laptop yangu ndogo asus eepc ..
bado ipo kwenye ubora haina tatizo lolote nimetumia mwaka mmoja..
sababu ya kuuza nahitaji laptop yenye screen kubwa na processor kubwa kwa...
English service mass will be held on this Saturday of 7th May at Mwenge, opposite KKKT.
Njoo ufunguliwe kutoka kwenye vifungo vyako vya kiafya, uchumi na elimu.
Come one Come all.
Maneno ya...
Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!
Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs
#specifications
.HDMI...
Kiwanja chenye nyumba ya vyumba viwili (ina mpangaji) inauzwa
Ina eneo lenye ukubwa wa metre 40 kwa 30 /zaidi ya robo heka
Kipo metre 200 kutoka katikati ya barabara ya lami ya Moshi Dar road...
Nyumba ipo Chanika Buyuni
Ina vyumba vitatu master moja yenye jakuza
Vyumba vyote ni self container
Stoo
Choo kimoja public
Dyning kubwa
Sebure kubwa
Get na parking ya gar
Kwa mawasiliano zaid...
Habari Wana JF.
Nimefungua store ya kuuzaa dagaa Jijini Dar es salaam katika eneo la taliani kama unaelekea chanika.
Dagaa hawa ni wazuri weupe na hawana mchanga, natarajia kuingiza mzigo hv...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha ardhi.
Natafuta chumba maeneo ya sinza mitaa ya tcu au hata kivulini, catalunya au lufungila..
Kiwe cha tiles na kikubwa
Bajeti yangu 100k
Hata kama nyumba maeneo...
Habari zenu wadau[emoji112]
Kwa anaehitaji kuwekewa window aina yeyote kwenye computer, kuanzia window za mac mpaka microsoft pamoja na program za office na mambo mengine mengi anaweza nitafuta...
Ni mafundi mahili katika sekta ya kufanya finishing za nyumba ikiwa ni pamoja na Kuweka Tiles, Marbles/Granites,tangastone,kupaka rangi, kuweka gypsum nk, njoo tukupe ushauri pamoja na huduma...
Ninawatafuta wale jamaa wanaowatafutia watu vyuo au shule nje ya nchi nataka UINGEREZA UK, ambao wao hulipa kila kitu kisha muhusika anawalipa kwa awamu au kidogo kidogo msaada wa mawasiliano yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.