Kwa heshima na taadhima wanaJamii Forums naomba mnisaidie majina ya Makampuni yanayouza Motor Grader hapa Tanzania ili niweze kuwasiliana nao kujua bei. Itakuwa vyema pia kupata simu zao...
Suala la umiliki wa ardhi limekuwa si jambo geni lakini pia si jambo la ziada Bali ni la msingi katika ulimwengu huu na katika nchi hii hasa ukizingatia kila siku iendayo kwa Mungu ardhi imekuwa...
Habar ndugu zangu kwa wakaz wa mbeya ninauliza kwa wale mnao fanya biashara ya vocha nimeuliza kua moja wanauza 475 na 975 sasa napenda kuuliza kama unamtaji wa Tsh 500,000 unapo nunua hakuna...
Land cruiser Prado Tx
2003-2004
115,000kms
Automatic
Petrol engine 3rz
Pirelli new tires
Dark grey
Sports rims
Dvd screens(3)
33milion shillings only
No scratch and very well maintained
Pls Call...
Jipatie asali mbichi kabisa ya ukweli kutoka mkoani Tabora kijiji cha Inyonga kwa bei nafuu kabisa hapa Dar es salaam
Ni sh. 10,000 tu kwa lita moja,, napatikana Kigogo
Nicheki kwa namba 0624 618374
Make money easily, without sweating like others
.Gentoo.link - Earn Money via sharing links online - 7500$ Fix Montly income.
Click the link do as it directs
Kwa wenye uhitaji au Una mtoto wako unahitaji afundishwe masomo hasa hasa ambayo shulen walimu ni wachache na pengine hawapo kabisa Kwa baadhi ya shule
Kuna kituo hapa ubungo riverside karibu na...
Habari zenu waheshimiwa,
Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro ya graphics, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo......
Bei zang ni:
* 10,000 kwa karatas normal...
Habari ya muda huu wakuu. Mayai safi ya kisasa makubwa na yenye kiini cha njano yanapatikana Gezaulole Kigamboni. Bei ni shilingi 7000 kwa tray lakini ukichukua kuanzia tray 50 utapata kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.