right way
Member
- Jul 28, 2017
- 85
- 28
Habar ndugu zangu kwa wakaz wa mbeya ninauliza kwa wale mnao fanya biashara ya vocha nimeuliza kua moja wanauza 475 na 975 sasa napenda kuuliza kama unamtaji wa Tsh 500,000 unapo nunua hakuna punguzo lolote kwa wale mnao uza jumla jumla nisaidien kuna jamaaa angu anitaji kufanya biashara ya kuuza vocha vijijin na hasa kwa mtandao wa voda,halotel na airtel.