amani peles
New Member
- Oct 18, 2017
- 3
- 1
Ndugu kamishna Wa Skauti wilaya ya Geita DC unakaribishwa katika kambi la Skauti wilaya ya Mbogwe Desemba 08/2017 litakalo fanyika shule ya sekondari Iponya -Mbogwe Geita.
New member... Wiiii... Piga filimbi ya kumwita kamishna sio mpaka uweke tangazo... Rank yako please maana umekaa ki mzuzu mzuzu..Ndugu kamishna Wa Skauti wilaya ya Geita DC unakaribishwa katika kambi la Skauti wilaya ya Mbogwe Desemba 08/2017 litakalo fanyika shule ya sekondari Iponya -Mbogwe Geita.
Wow! Homeboy umependeza kinyama aisee!Ndugu kamishna Wa Skauti wilaya ya Geita DC unakaribishwa katika kambi la Skauti wilaya ya Mbogwe Desemba 08/2017 litakalo fanyika shule ya sekondari Iponya -Mbogwe Geita.
Sawa mm niko hapa Kona 4 barabara ya Lugunga....nitakaribia.Ndugu kamishna Wa Skauti wilaya ya Geita DC unakaribishwa katika kambi la Skauti wilaya ya Mbogwe Desemba 08/2017 litakalo fanyika shule ya sekondari Iponya -Mbogwe Geita.