Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natumai mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku ni kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji kufahamu bei na upatikanaji wa generator tajwa hapo juu likiwa ni la three phase na uwezo wa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kampuni ya mastech IT solution inatoa ofa ya kutengeneza website kwa bei nafuu security ipo juu sana tunatumia firmwork za kisasa zaidi kama laravel pia tunatoa huduma za computer maintainance and...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za asubuh wakuu... Naomba kufahamishwa maeneo yanayouzwa bidhaa zifutazo kwa jumla 1.super glue 2.dawa za viatu(kiwi,kangroo) 3.dawa za meno 4. Soksi(pundamilia) 5 amira 6 n.k Naomba...
0 Reactions
6 Replies
970 Views
habari wadau. Nina mashine yangu naiuza..mpya haijawai tumika.. bei ni 1m manufacture ni stahls... ina warranty 1 year size A-3
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Shamba linauzwa liko Msowero Kilosa liko kando kando mwa mto Msowero llinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji shamba limepimwa na lina hati ipo nyumba kwa ajili ya kuhifadhia zana za kilimo barabara...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Karibuni sufuria za kisasa kwa bei poa ya shilingi 90000 Kwa mawasiliano 0652651853
1 Reactions
10 Replies
17K Views
natafuta gari la kukodisha maeneo ya mto wa mbu kuingia lake manyara national park kwa bei nzuri itakayomudu watu kumi na mbili nitafute chap
0 Reactions
1 Replies
764 Views
Ni Samsung J7 na Samsung Galaxy Grand prime Plus mtumba from S A Hiyo ni Samsung Galaxy J7 bei 300k, hiyo ni Samsung Galaxy Grand prime Plus 200k tu. Bei hizo ni fxd sipunguzi anayehitaji...
1 Reactions
1 Replies
862 Views
Sina bei sana Ina Bluetooth Flash SD card Aux n.k ina wiki 2 tu nataka 100,000 kama utahitaji nichek 0625547181
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii nimeikuta sehemu na kujiuliza maswali mengi.Nanyi wadau wa JF someni na kutoa maoni yenu. Familia ya A.Rimoy inaomba msaada wa kuchangiwa figo 1 (kike/kiume) kwa ajili ya mzee wao kwa yeyote...
3 Reactions
67 Replies
8K Views
HP EliteBook 8440p - 14" - Core i5 520M - 4 GB RAM - 320 GB HDD BEI 550,000/= TSH PRICE FIXED CALL 0715107536
0 Reactions
2 Replies
869 Views
kuna Blackbery na iphone ninauza kwabei poawa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja chenye nyumba ya vyumba viwili (ina mpangaji) inauzwa Ina eneo lenye ukubwa wa metre 40 kwa 30 /zaidi ya robo heka Kipo metre 200 kutoka katikati ya barabara ya lami ya Moshi Dar road...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
3 Rooms (2Masters) public Toilet sitting Room Dining Room Kitchen Garden Fence&Parking slide windows 3 apartment IPO Kigamboni 5km toka kwenye pantoni/4Km toka darajani Price:450,000Tsh. Per...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ndugu kamishna Wa Skauti wilaya ya Geita DC unakaribishwa katika kambi la Skauti wilaya ya Mbogwe Desemba 08/2017 litakalo fanyika shule ya sekondari Iponya -Mbogwe Geita.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini Wana JF poleni na majukumu ya kila siku!!!!!!! Kama kichwa kilivyo Wana JF na shida ya kupata vifaranga wa kuku wa kufuga Aina ya Hawa kuku wako kama wa kisasa ila ni wa kienyeji wapi...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Jipatie vyombo vya nyumbani mbalimbali vikiwemo dinner set, vikombe, sahani n.k. Bei zetu ni nafuu Kwa mawasiliano zaid kwaajili ya kujua bei na kuona picha zaidi tuwasiliane kupitia namba...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Kwa heshima na taadhima wanaJamii Forums naomba mnisaidie majina ya Makampuni yanayouza Motor Grader hapa Tanzania ili niweze kuwasiliana nao kujua bei. Itakuwa vyema pia kupata simu zao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam, Naomba mwenye uelewa wa wapi naweza pata mashine hiyo (Isiwe ya umeme) tuwasiliane. Naihitaji kwa haraka sana.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Suala la umiliki wa ardhi limekuwa si jambo geni lakini pia si jambo la ziada Bali ni la msingi katika ulimwengu huu na katika nchi hii hasa ukizingatia kila siku iendayo kwa Mungu ardhi imekuwa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…