Nauza Banda la Kisasa la kufanyia biashara aina yoyote(Mabati ya Grill) na kuezekwa vizuri kwa bati bado jipya. Ukubwa Mita 8 kwa 7, pia linahamishika. Liko vizuri, kwa anayehitaji pia kuna kabati...
Offer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!
Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs
#specifications
.HDMI...
Ndugu wanajamii forum nauza nyumba mil 110 Ina vyumba 8 sebure mbili,dinning,jiko.Iko manzese Mwanzoni mwa barabara ya lami iendayo sinza.Parking kubwa na eneo limejengwa kwa mpangilio kama vile...
Habari zenu wapendwa tunauza mashine za kuangulia vifaranga(Incubator) bei poa pia ni automatic na zinaanzia mayai 50-1000 pia tunatoa elimu ya matumizi na ya uifadhi wa mayai karibuni sana.
Habar,
Husika na kichwa hapo juu nauza HUAWEI E9 PRO bei 450000/=Tshs nahitaji walio serious kwenye business caffeine na sio jokes.
Napatika Tanga mtaa wa Mapinduzi msikitini kona ya kuelekea...
Pata Dagaa safi na wasio na mchanga toka bukoba,Tunapatika kituo cha Taliani Kama unaelekea Chanika Jijini Dar es salaam.... Bei ya kilo moja ni shilling 8000/= kwa mawasiliano zaidi piga namba...
kichwa cha habari kama kinavyojieleza vifaranga wawe na wiki mbili au chini ya hapo. na wawe wanapatikana maeneo ya jiji la arusha muuzaji weka comment hapo, bei yako na mawasiliano yako
[emoji837]LIMITED TIME OFFER [emoji837]
Biggest [emoji985]Website Design OFFER!! accompanied with great services[emoji1417] to grow your business online[emoji817]
Contact us now
W...
Habar!
Tunatoa huduma ya fumigation and Pest Control service hapa Arusha Kwa wenye Changamoto ya wadudu kama Mende, kunguni, mchwa, sisimizi, Panya n.k katika maeneo ya Mahotel, majumbani...
Husika na kichwa hapo juu natafuta kiwanja Arusha maeneo nayopenda hasa ni kwa Mromboo, ukubwa kuanzia mita 20/20 na kuendelea ni vyema kama ukaweka na bei yako kabisa hapa.
Asanteni.
Habari zetu wana jamvi...naomba kujua bei ya Toyota Coaster hapa dar kwenye show room. Pia endapo nitakuwa na pesa pungufu ya kununulia inawezekana kupewa gari halafu ukalipa kidogo kidogo hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.