Shamba linauzwa Msowero Kilosa

Shamba linauzwa Msowero Kilosa

Qualifier

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
1,252
Reaction score
408
Shamba linauzwa liko Msowero Kilosa liko kando kando mwa mto Msowero llinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji shamba limepimwa na lina hati ipo nyumba kwa ajili ya kuhifadhia zana za kilimo barabara ipo na baada ya km 4 tu kuna barabara ya lami mpaka Karioakoo ni masaa manne ukiondo foleni na masaa matatu mpaka Dodoma sokoni ukubwa wa shamba ni eke 65 kama unahitaji nitafute tufanye biashara.
 
Shamba linauzwa liko Msowero Kilosa liko kando kando mwa mto Msowero llinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji shamba limepimwa na lina hati ipo nyumba kwa ajili ya kuhifadhia zana za kilimo barabara ipo na baada ya km 4 tu kuna barabara ya lami mpaka Karioakoo ni masaa manne ukiondo foleni na masaa matatu mpaka Dodoma sokoni ukubwa wa shamba ni eke 65 kama unahitaji nitafute tufanye biashara.
Bei gani
 
Shamba linauzwa liko Msowero Kilosa liko kando kando mwa mto Msowero llinafaa kwa kilimo cha umwagiliaji shamba limepimwa na lina hati ipo nyumba kwa ajili ya kuhifadhia zana za kilimo barabara ipo na baada ya km 4 tu kuna barabara ya lami mpaka Karioakoo ni masaa manne ukiondo foleni na masaa matatu mpaka Dodoma sokoni ukubwa wa shamba ni eke 65 kama unahitaji nitafute tufanye biashara.
Hujaweka contacts unatafutwaje sasa,kama hata humu hujibu bei gani?!
 
Mmoja amtafute pm huyu mshamba apewe bei kisha aje atuambie hapa.
 
Back
Top Bottom